Usiku wa kuamkia leo imefanyika event ya Uni Ladies Gala (@uniladies_gala ) katika ukumbi wa Golden Jubilee Dar es Salaam, event ambayo imehusisha Wanafunzi mbalimbali wa kike kutoka katika vyuo mbalimbali Dar es Salaam ikiwa lengo kuu ni kutambua, kuthamini na kuheshimu mchango unaofanywa na malkia wanaopambana kuleta matokeo chanya kwenye jamii ikiwa bado wapo katika masomo.
Mgeni rasmi katika tukio hilo alikuwa ni Mhe. Edward Mpogolo @mpogoloe ) Mkuu wa Wilaya ya Ilala ambaye kwa kutambua mchango na faida ya Uni Ladies Gala amekabidhi cheti cha heshima kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi Clothilda Bukagile (@__cybertron_ ) kwa ufanikishaji wa jambo hilo kubwa.
Event ya Uni Ladies Gala iliambatana na utoaji wa tuzo kwa Wanafunzi mbalimbali ambao wamefanya mambo makubwa na kuleta matokeo katika jamii zao katika sekta mbalimbali. ⢠#CloudsDigitalUpdates
Honored and grateful to receive the Best Female Social Influencer Award at the incredible IFM Dadaz 2024 event presented by the Deputy Speaker of Tanzania, Mussa Azzan Zungu @zungumussa ,Mayor Mr Omar Kumbilamoto @meya_wa_jiji_dar and Dr. Siriel Nchembe @smchembe .
A heartfelt thank you to the organizers of Ifm Dadaz 2024 for putting together such a phenomenal event. Your dedication and hard work have created a platform that celebrates and empowers women in our community. I am truly honored to be part of this inspiring occasion.
As we await nominees revelation and voting to open ,Just know 2026 Gala is up ,see you on 31st May 2026 at the indoors venue of EACLC Ubungo Dar es salaam.
Prepare your wallets ,tickets would be issued soon âł
Behind every empowered woman is a brand that believed in her.Become a sponsor of Uni Ladies Gala 2026 and be part of a movement that transforms stories into legacies. This is more than an event it is a platform that uplifts, mentors, and celebrates university women who are boldly shaping their communities and futures.Letâs create impact together. Letâs empower her story. Letâs build lasting legacy.
Miaka miwili ya TRC SGRđ SGR imekuja kuwa mkombozi wa muda. Badala ya kupoteza saa nyingi barabarani, sasa tunafika kwa dakika chache.
#nusumudakotekote #TRCAnniversary #SGRTanzania #SafariYaHaraka
To God be The Glory ,IFM Charity 2026 itâs a wrap.
Thank you for everyone that showed up and played part in this .
To the calls picked and assistance shared ,
Mungu awabariki sana woteđ¤
Focusing on the synergy between strategy and experience. When the vision is shared, the growth is inevitable.
Honored to be part of @crdbbankplc event earlier today.
We are pleased to confirm that @__cybertron_ Vice President of the IFM Students Organization, will be in attendance at NJE YA BOX YOUTH TALK 2026! đĽ
:
Her presence brings strong student leadership and representation, adding to the growing momentum of youth voices shaping this yearâs event.
:
Together, we continue to build a platform where students connect, learn, and access real opportunities. đ
#NjeYaBoxYouthTalk2026 #StudentLeadership #YouthEmpowerment #UfauluProjectTanzania
Every dawn is an invitation to start over. Bless your spirit, protect your peace and remember that you are worthy of the brightness coming your way. The world is full of grace if you know where to look.
We know the group chat is screaming and the Pinterest boards are working overtime but take a deep breath and stay focused!
You all are looking like a 10/10 already but youâre going to need that âMain Characterâ energy for whatâs coming next.
Keep your eyes on the feed tonight the next piece of the puzzle is dropping and youâll want to be readyđ¤