Instant Maize Porridge

@ujifastaa

#HAUPIKWI Uji upo tayari kwa kunywa, Ongeza Maji au Maziwa, Koroga, kunywa Tupigie 0753781781
Followers
7,373
Following
3
Account Insight
Score
33.39%
Index
Health Rate
%
Users Ratio
2458:1
Weeks posts
Hakikisha Asubuhi yako inaanza na Asubuhi njema, hizi ni breakfast cereals kutoka Goldenpot. Bidhaa hii inatengenezwa hapa hapa Tanzania kwa nafaka za ndani kabisa 🥳. Asubuhi njema zinapatikana kwa ladha zifuatazo, 1.Choco pops ( Chocolate) 2.Honey crunches ( Asali ) Asubuhi njema ni rahisi kuandaa ,weka maziwa tayari kwa kula 😊. Asubuhi njema ni bidhaa yenye virutubishi vifuatavyo ( Vitamin B12, Iron , Zinc na Folic acid ) Asubuhi njema lishe kamili tayari kwa kula 🤭
3,079 42
3 days ago
Bidhaa bora zenye ladha halisi ya kitanzania #GoldenPot ladha iko huku 😋 #UjiFastaa #chayachaya #asubuhinjema ##madeintanzania
0 1
3 days ago
🌽✨ Afya bora huanza na lishe sahihi! Kwa kila kijiko cha Uji Fastaa, unapata nguvu ya virutubisho muhimu kama Iron, Zinc, Vitamin B12 na Folic Acid kwa ukuaji na afya bora ya familia yako. 💪❤️ #goldenpot #ujifastaa #lishebora #lishekamili #madeintanzania
0 3
6 days ago
🛡️ Teaching Children Safety is Not Fear — It’s Protection 💛 Every child deserves to understand: Personal Boundaries ✔️ Safe & Unsafe Touch ✔️ How to Say “NO” ✔️ Speaking Up & Asking for Help ✔️ Body Safety Rules At Mbonishola Child Guidance Horizon, we empower children with knowledge, skills,confidence, and safety awareness in a child-friendly environment 💫 Because informed children are safer children 💫 📩 DM for registration and program details. #BodySafety #PersonalBoundaries #ChildSafety #SafeChildren #PositiveParenting #KidsConfidence #ChildDevelopment #SpeakUp #MbonisholaChildGuidanceHorizon
5 0
8 days ago
Tunawathamini , tunawapenda na tunawajali mama zetu wote duniani. Happy Mother's Day with love from Goldenpot ❤️ #goldenpot #ujifastaa #lishebora #asubuhinjema #madeintanzania
0 1
8 days ago
Njaa iliknock wakati wa safari lakini Uji fastaa ukasema “not today” 😆 Uji fastaa ni Uji ambao haupikwi , ni lishe kamili tayari kwa kula kwa familia nzima na ni Uji ambao umeongezewa Virutubishi kama (Vitamin B12,Iron , Folic acid na Zinc). Virutubishi hivi vinasaidia kuimairisha kinga ya mwili , Vinasaidia kuboresha mfumo wa umeng’enyaji wa chakula mwilini na kuongeza hamu ya kula kwa watoto na watu wazima. Hakika Uji fastaa umekuwa mkombozi wa safari yetu kwa kuwa ni Uji ambao unahitaji maziwa/ maji ya vugu vugu na unakuwa upo tayari kwa kula 😌. Uji fastaa lishe kamili tayari kwa kula kwa familia nzima. Uji fastaa ladha iko huku 😊
2,266 30
9 days ago
Kwa furaha kubwa tunaungana na MBONISHOLLA CHILD GUIDANCE HORIZON katika kuwajengea watoto msingi imara wa malezi, mafunzo na maendeleo yao. Tunaamini kila mtoto anastahili mazingira salama ya kujifunza, kucheza na kukua kwa furaha. Uji Fastaa – lishe kamili tayari kwa kula – tupo bega kwa bega katika safari ya ukuaji wa watoto wetu. #GoldenpotCares #UjiFastaa #KujengaKesho #ChildDevelopment
0 1
14 days ago
Sasa maisha yamerahisishwa na Uji fastaa, dakika chache Uji Uko tayari mezani tayari kwa kula 🤤🤭. Uji fastaa haupikwi , lishe kamili tayari kwa kula kwa familia nzima.😘🥣🍌🍓 #goldenpot #ujifastaa #lishebora #lishekamili #madeintanzania
0 19
14 days ago
Tunawatakia kheri ya siku ya wafanyakazi Duniani. Hakika tunathamini juhudi , nidhamu na ubunifu wa kila mfanya kazi . #GoldenPot #ujifastaa #lishebora #asubuhinjema #madeintanzania
0 14
17 days ago
Kuwa Baba 😂😂😂😂🙌🙌🙌. Katika nyakati za kujali, chagua lishe sahihi kwa familia yako. Mimi kama baba bora wa familia nmechagua @ujifastaa kwa ajili ya familia yangu. Uji fastaa haupikwi ni lishe kamili tayari kwa kula kwa familia nzima , Uji huu umeongezewa Virutubisho vifuatavyo ( Vitamin B12, Folic acid , Iron & Zinc ). Virutubisho hivi vinasaidia kuimairisha kinga ya mwili , Vinasaidia kuboresha mfumo wa umeng’enyaji wa chakula mwilini na kuongeza hamu ya kula kwa watoto na watu wazima. Uji fastaa haupikwi, lishe kamili tayari kwa kula 🥳 @goldenpot_limited Cc @keen.meda @injinia__ #eyoonduttu Video by @iamtossi38
15.0k 273
18 days ago
April was a blast 💥 Bidhaa zenye lishe kamili na tayari kwa kula utazipata Goldenpot pekee 🥳 #Aprilrecap#highlightvideo#ujifastaa#GoldenPot #madeintanzania
0 26
18 days ago
Sauti ya shukrani ndiyo motisha yetu kubwa. Ni faraja kuona lishe bora ikiwafikia wanaohitaji zaidi, na kusikia jinsi inavyosaidia kuimarisha mwili na kuongeza nguvu.💪 Uji fastaa unatumika kuanzia watoto wa miezi sita (6) na kuendelea, hii ni lishe kamili kwa familia nzima. Uji fastaa haupikwi , lishe kamili & tayari kwa kula na ni rahisi kuandaa wakati wowote.🥣🍌🍓 #goldenpot #ujifastaa #lishebora #lishekamili #madeintanzania
0 0
21 days ago