Leo ilikua siku nzuri kwangu baada ya kuperfom mbele ya Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh
@mwigulunchemba na kupata wasaha wa kusalimiana nae katika uzinduzi wa Meli ya MV NEW MWANZA
Asante sana Mkuu wa mkoa wa mwanza Mh
@said_mtanda kwa mualiko huu adhimu kabisa MUNGU akubali sana
CC 📷
@masu_studios
Bodaboda ni usafiri salama vaa helment