Clouds FM🇹🇿

@cloudsfmtz

Clouds Fm Radio Official Instagram Account. Follow us on; Facebook - CloudsfmRadio Twitter - CloudsMediaLive Tunakufungulia Dunia Kuwa Unachotaka
Posts
107k
Followers
9.4m
Following
152
Account Insight
Score
81.63%
Index
Health Rate
80%
Users Ratio
62421:1
Weeks posts
131.2
Happy birthday Baba la Baba (@adamchomvu ) #Cloudsmediagroup tunathamini mchango wako wa dhati tunakutakia mafanikio na baraka maishani mwako. Endelea kusababisha na kuwapa mashavu wana #Nyoosha2026
174 8
2 hours ago
Anaitwa Nathan Kimaro @nathan_kimaro moja kati ya Wanahisa vijana wa hisa za CRDB bank, waliyopata kuhudhuria Mkutano wa 31 wa Wanahisa wa CRDB bank AICC, Arusha na hapa anatueleza kwa jinsi gani uwekezaji katika hisa ni mchongo mkubwa.
473 5
2 hours ago
Ni wakati wa kujifunza, kubarikiwa na kupata neno la kiroho pamoja, usikose Jumapili hii kwenye #GospelTraxx atakuwepo @apostledevothagwau kuna mengi utajifunza.. Kuanzi saa 6:00 Asubuhi mpaka saa 9:00 am Asubuhi hapa Clouds Fm @cloudsfmtz Cc @hurumacharles @favvie_tz @pastordolaa @yuda_jay @djsamgram @bishop_jilangila #GospelTraxx
17 0
3 hours ago
#FilbertKapela mtaalam anayesimama kama daraja la ujumbe kwa wasioona na wasiosikia, Kwa lugha ya ishara, tafsiri na moyo wa huduma, tunajifunza namna Injili inavyoweza kumfikia kila mmoja bila kuacha mtu nyuma. Ungana nasi kuanzia saa 6:00 Asubuhi mpaka saa 9:00 am Asubuhi hapa @cloudsfmtz Cc @hurumacharles @favvie_tz @pastordolaa @yuda_jay @djsamgram @bishop_jilangila #GospelTraxx
12 0
3 hours ago
Usikose Jumapili hii kwenye #GospelTraxx atakuwepo live #AsnathMathias Jiandae kubarikiwa, kusikiliza kile Mungu amekuandalia. Ungana nasi kuanzia saa 6:00 Asubuhi mpaka saa 9:00 am Asubuhi hapa @cloudsfmtz Cc @hurumacharles @favvie_tz @pastordolaa @yuda_jay @djsamgram @bishop_jilangila #GospelTraxx
12 0
3 hours ago
SINA MUDA MREFU KWENYE UWEKEZAJI WA HISA ILA MATOKEO NI MAKUBWA - Mzize Huyu hapa @clementinho49 akiwa moja kati yako wanahisa wa hisa za @crdbbankplc , naye amepata kuhudhuria Mkutano wa 31 wa Wanahisa wa Crdb bank hapa AICC, Arusha.
1,861 15
4 hours ago
Just be you !! #Dadamubifadhi @cloudstv
152 1
5 hours ago
Meneja wa CRDB bank kanda ya Dar- es- salaam, @muhumuliza.buberwa akifuatulia kwa umakini Mkutano Mkuu wa 31 wa Wanahisa wa Benki hiyo unaofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC). Mwaka 2026 Benki ya CRDB inaingia kwenye Mkutano Mkuu ikiwa kinara katika kila nyanja ya utendaji ikiwamo faida ambapo katika robo ya kwanza ya mwaka huu Benki ilirekodi faida baada ya Kodi ya Sh. Bilioni 206. Mafanikio hayo yametokana na maamuzi ya kimkakati, uongozi imara pamoja na imani kubwa ya wanahisa na wawekezaji wake. Hivyo Mkutano Mkuu wa mwaka huu ukiwa fursa muhimu ya kusherehekea mafanikio hayo. #AGM2026
160 2
5 hours ago
Malkia wa nguvu @leesa_foods amenunua meza mbili za kilele cha @malkiawanguvuaward 30/5 Arusha Wewe pia unaweza kununua tiketi zako pamoja na watu wako ili tarehe 30 ukashuhudie na usihadithiwe.
105 3
5 hours ago
Leo #Cloudsmediagroup tunamsherehekea Malkia mwenye maono aliyethubutu na kuamini sauti za wanawake zina nafasi ya kusikika duniani. Mwanamke aliyebeba ndoto, akaigeuza kuwa nyumba ya maelfu ya wanawake kupata nafasi, kusikika na kuamini katika thamani iliyopo ndani yao kupitia #MalkiaChoiceFM. Kwetu CMG wewe ni Mkurugenzi Mtendaji, Kiongozi mahiri, lakini kwa wengine wengi zaidi, Wewe ni Mwanga, Nafasi, Motisha, na Sababu ya wanawake wengi kusimama tena kwa kujiamini. Asante kwa kuwa sauti ya wanawake. Asante kwa kujenga familia ya Malkia kwa upendo, maono na moyo wa kipekee. Asante Kukoleza Levels kwa Alama hii ya Kipekee (@malkiachoicefm ) itakayodumu vizazi na Vizazi. Happy Birthday Mkurugenzi Mtendaji, Malkia Choice Fm, Malkia wa Nguvu, Juhayna Ajmy Kusaga (@ajmy_inna ) #Nyoosha2026
47 2
6 hours ago
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Abdulmajid Mussa Nsekela (@amnsekela ) akizungumza na #Cloudsmediagroup kuhusiana na safari pamoja na mafanikio ya Mkutano Mkuu wa 31 wa Wanahisa wa CRDB BANK. Mkurugenzi Dr. @amnsekela alisema Benki ya CRDB itaendelea kuwekeza katika teknolojia, ujumuishaji wa kifedha na huduma zinazounganisha uzoefu wa kidijitali na huduma za ana kwa ana ili kuongeza ushindani, kuboresha uzoefu wa wateja na kujenga thamani endelevu kwa wadau wake. Zaidi isogeleee kurasa ya CloudsMF na Clouds Tv kwa video. #AGM2026
191 5
6 hours ago
DAKIKA 90 ZA MAAJABU Kila ifikapo siku ya Ijumaa,Sports Extra tunakuandalia Dakika 90 za Maajabu, ambapo leo tumekuandalia dakika 90 za Maajabu, katika moja ya mchezo wa ligi kuu ya Nbc,timu ikifunga mabao 2 ndani ya dakika 5 ,na kuvunja historia ambayo,ilikuwa imewekwa na timu pinzani Msomaji @mwajabu.shafii Mwandishi @officialjacobkapaya_
1,644 31
6 hours ago