Profesa Jay

@professorjaytz

Member of parliament for Mikumi Constituency 2015 - 2020 Founder & Chairman @professorjayfoundation Watch now👇🏻EBENEZER
Posts
4,199
Followers
3.0m
Following
763
Account Insight
Score
77.21%
Index
Health Rate
73.5%
Users Ratio
4057:1
Weeks posts
5.15
Happy birthday Dogo lao @7donkoli More Life More Blessings 🙏 🙏🙏
782 19
7 days ago
A night to remember 🔥🔥 @bongoflavahonors @professorjaytz #TAITA #TheHOST
2,914 52
10 days ago
Mchana wa leo na JAY wa MITULINGA… Bado yuko na VIBE sana!!!…🔥🔥🙌🏾🙌🏾 NB: Ameniuliza MWANZA lini? ARUSHA Je?! @bongoflavahonors @professorjaytz #TAITA
9,214 171
12 days ago
Rapa @nikkimbishi999 amefunguka baada yakushiriki kwenye Show ya @professorjaytz weekend iliyopita, akimtaja kama Msanii mwenye safi pengine kuliko Wasanii wengi wa Bongo, Msikie hapa kwenye #Whatspoppin
4,468 242
13 days ago
My nigga UNJU @nikkimbishi999 Nilikupigia simu kukuomba ushiriki concert ya Jay, ukaniambia iko poa ila uko TOUR na @tukusa_clan na mnaelekea Tunduma na ukirudi utanicheki… Uliporudi chap ukanicheki na ukaja studio kwenye rehearsal kwa siku moja tu lakini kazi uliyokuja kuifanya ni ya maandalizi ya MWAKA mzima! NB: Hakuna Nigga aliyewahi kufunika vile kwenye show just kwa kupiga BACKUPS!🙌🏾🔥 @bongoflavahonors @efmtanzania @professorjaytz #MayDayWasJayDay
13.6k 736
14 days ago
Samaki mwenye kiu ndani ya maji @niitesonga anasema @professorjaytz ni kama Michael Jackson wa Rap! #EastAfricaTV #TogetherTunawakilisha @eastafricaradio 🎤 @shneida_infos 🎥 @officialkingmussa
3,146 13
14 days ago
UNJUU BABAAA NIKKI BABA ASANTEE KWA HILI MWAMBA Maaanaa Kuna performances… halafu kuna huu unyama unaobadilika kuwa memory isiyo futika. daaah kweli hii ya jana @nikkimbishi999 aliamua kutuachiaa HISTORIA Jana kwenye jukwaa la Bongo Honors, Nikki Mbishi hakuja kucheza wazeeee eeeh alikuja kuthibitisha yeye ni nanii kwenye hii HipHop ya bongoo. Picha linaanza Akapanda jukwaani, akachukua MIC akasema huu mzigo wa Professor Jay huu niachieni mimi huu naumuduu huu naubeba mabegani kwa heshima ya Legend wa hii Game. kilichofata ni historia mjini instaa Wazungu haooo🔥🔥 Mhuni kapita Line baada ya line, verse baada ya verse yaaanii hakuna kudema demaaa eeeeh nikki babaaaa unjuu babaaaa kama tuliwahi kukukosea adabu tusamehee kaka ni utoto tu tukikua tutaachaa😂😂 🙌🏼🙌🏼 Yaanii ni hivii kama vile ngoma zote za JIZE mhunii yeye ndo aliziandika daaaah unju eeeeeh !!😂🙌🏼 Hii haikuwa tu kuimbaa wazeee hii ilikuwa ibada ya hip hop watu waliimbishwa na wakatubuu😂😂 walishuhudia show ya maaana mwana kala njumu kavaa jezi kaicheza gemu kama yake vileee kweli hii ni Heshima kubwa kwa Legend Oyaaaa moto wake sasaaaa duuuh Asante sana Nikki kwa huu upendo na heshima kwa Legend @professorjaytz TUMPE TANO MWAMBA👊👊 #StoryZaMastaa #SZM #NikkiMbishi #ProfessorJay
1,296 71
14 days ago
"Nimemfahamu Professor Jay Tangu nikiwa shule" John Heche
4,767 45
15 days ago
Mwamba Wa Kaskazini @johmakinitz kaimeza verse yote ya Bongo Dar Es Salaam aliyochana @professorjaytz Ameibuka kumsapoti Jay Wa Mitulinga show ya BongoFlava Honors! @eastafricaradio
1,257 40
15 days ago
APPRECIATION POST KWA UNJU (NIKKI MBISHI) @nikkimbishi999 anazifahamu nyimbo karibu zote za @professorjaytz ,neno kwa neno mstari kwa mstari hivyo leo alikua anashuka na wimbo baada ya wimbo za professor Jay na kuperform vzuri kabisa,Nikki amefanya kazi kubwa sana mwanzo mwenga Kimsingi Prof anamkubali NIKKI na NIKKI ANAMKUBALJ JAY upendo wao kwa kila mmoja hakika umeonekana leo.
9,076 527
15 days ago
Mh Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo #MwanaFa na @aytanzania walivyopanda stejini kuimba “Hapo Vipi hapo sawa” na @professorjaytz @eastafricaradio @eastafricatv 🎥✍️ @shneida_infos
12.7k 216
15 days ago