Smart Codes

@smartcodes

A Digital Transformation Company with a mission to solve African challenges through technology & make a mark across Africa | Part of @sagafrica_
Followers
5,691
Following
69
Account Insight
Score
32.37%
Index
Health Rate
%
Users Ratio
82:1
Weeks posts
On behalf of SMART CODES team, We thank you all for supporting M-Paper. We promise to work hard in making the app even much better #feelsgood #WINNERS
3
16
Lanchi ya Usiku.... Vipapatio Vya Kuku... Asante Mpiga Picha @intertinny na Asante Mchawi wa Picha,HUAWEI P8...Hivi ndio Simu yako inapaswa ikutoe Usiku ingawa najua yako ukipiga unatokea Sura kama Umekatwa Kura za Maoni @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz
1,536
38
Uchawi Namba 4 wa P8 ninaoupenda! ONGEZA UDAMBWIDAMBWI PICHANI. Kuna Picha flani huwa unazipendaaaaaaaa sanaaa LAKINI kwa bahati mbaya Background zake sio nzuri,aidha kuna watu walitokea nyuma ya hiyo Picha,Au Ukuta mliopigia ulikuwa Mchafu..Basi unaweza kufanya UCHAWI unaitwa LIGHT PAINTING na ukaibadili hiyo Picha kabisaaa na kuondoa Mandhari zote usizozitaka na kuweka zako MPYAAA ulizozichora UPYAA kwa Simu hii...Unataka nini tena??? Wapenda Uchawi wa Simu weyee? Basi hakunaga kama HUAWEI P8.Ukitaka Kuinjoi kama mimi ninavyoinjoi just FOLLOW THEM.... @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz
1,076
8
PETER MOE @petermoe1 GADNA @captaintanzania Good People... HUAWEI P8 FOR YOU!
1,692
21
JIKA ndio wimbo wote tunaujua na kuuimba... Sio tu kwamba wewe ni Mwanamuziki Mahiri na Mpishi wa Chakula wa hali ya juu lakini umeprove kwamba wewe ni KICHWA! Hongera kwa kuchaguliwa kuwa CREATIVE DIRECTOR wa @huaweiza which means wewe ndo incharge wa Udambwidambwi wote wa Sokoni hapo SA linapokuja suala la Marketing of Huawei Products.. Congrats my brother @jsomethingmusic kiongozi wa MICASA BAND kwa achievement hii...Tafuta Mswahili yoyote hapo akutafsirie mtu wangu... @micasamusic ur lucky to have this brain in ur team...Amazing Guy! @jsomethingmusic @jsomethingmusic @jsomethingmusic @jsomethingmusic @jsomethingmusic @jsomethingmusic @jsomethingmusic @jsomethingmusic @jsomethingmusic
1,104
12
Kemea Mapepo ya kumiliki Simu Sumbufu... BADO SIKU 1 TU SASA.... Je bado Unamiliki Simu aina ya FRIJI???Simu inakaa kwenye Charge muda mrefu kama Friji... KESHO MWISHO!! Je bado ukienda kumtembelea rafiki yako na ukifika anakuuliza,"Can I offer you TEA,COFFEE,JUICE??" Usinipe chochote naomba CHARGER niboost kimeo changu... KESHO MWISHO!! Ukinunua SMARTPHONE hakikisha kweli It is SMART sio hizi simu taahira zinasumbua hadi unajikuta Umekuwa Fundi Simu bila kupenda.... HUAWEI P8 #IgniteP8 #IgniteP8TZ Usiseme Sikukwambia...KAA TAYARI @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz
1,018
28
Smartphone nyingi wala sio SMART kama zinavyoitwa...How can you be smart huku unaisha charge hovyo??Unaanzaje kuwa Smart huku unawasumbua watu kutembea na Charger Mfukoni kila waendako utadhani Vishoka wa Tanesco??? BADO SIKU 2 TU....Ndo utajua Smartphone maana yake nini.. HUAWEI P8 #IgniteP8 #IgniteP8TZ Unalipia hela nyiiingi kununua DUMB PHONE kwa bei ya SMARTPHONE na sasa tunasema IMETOSHAAAAAAAA @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz
909
24
Yesu alifufuka baada ya SIKU 3 na alileta ukombozi usio na shaka hata Kifo kilimshindwa kumshika... BAADA YA SIKU 3 litatokea TUKIO LINGINE LA KIHISTORIA... Safari hii sio Yesu kufufuka lakini litakufanya uache mdomo wazi.... HUAWEI P8 #IgniteP8 #IgniteP8TZ Amini ninachokwambia,hujawahi kutumia Smartphone tangu uzaliwe @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz
1,004
12
BADO SIKU 4 TU....KAA TAYARI... Ujio wa Uchawi ulio dhahiri kwenye Macho yako ambao utauchezea utakavyo kwa Vidole vyako.. HUAWEI P8 #IgniteP8 #IgniteP8TZ Sahau Simu zote unazozijua na Subiri uchawi huu uingie Sokoni utanielewa @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz
983
12
BADO SIKU 5 Wachawi wanaitwa HUAWEI wanaangusha dude litakaloleta ADABU SOKONI.... Tumechoka kubadilishiwa KEYPARD TU halafu Bei inaongezeka Laki 8 wakati Simu ni almost ileile...Ukiuliza unaambiwa UKUBWA WA KIOO UMEONGEZWA...Kioo laki8??Mxiuuu! I CANT WAIT.....HUAWEI P8....Save that date maana Dunia haitakuwa the same kwa Uchawi huu #IgniteP8#IgniteP8TZ Unataka japo uione inafananaje?GO @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz @huaweitz
962
12