TUNASEMAAJEEE NDO TUNAMALIZA
DIZEMBA HOLIDAYS NA TUNAFUNGA MWAKA 2024 KWA
KUANGALIA KILE KILICHO BORA
ZAIDI. #situationshiptzseries
TUKUTANE -YOUTUBE -OTHMAN NJAIDI -JUMAPILI YA
KESHO SAA 6:000 Mchana
42 minutes ago β’ See Translation
Director Cherehani ameeleza kuwa maisha ya mwana-muziki A.Y yana mvuto mkubwa na yanafaa kutengenez-
wa kuwa filamu kutokana na safari yake ndefu ya mafan-ikio, changamoto alizopitia pamoja na mchango wake mkubwa katika muziki wa Bongo Fleva.
Post from @cloudsfmtz@johnjakson_tz jackson
Gazeti la Mwnanchi Burudani limeeleza kwa ufupi
namna director wa filamu Simon Cherehani alivyokuwa na mchango katika kuwakutanisha wasanii wawili πΉπΏPhina na Eni kutoka Nigeria π³π¬
@mwananchi_official@cherehani1@officialtinana
@prisca__lyimo mapokeo yamekua mazuri nchini Nigeria. Good comments on twiter na reaction za mashabiki ndani ya ukumbi wa cinema.. π₯ππβπ½ The return of Arinzo π¬