@THE LOVE GUY

@_bennythemc

@ JOURNALIST RADIO &TV MEDIA PERSONALITY @PEACE WITH VIBES
Followers
468
Following
1,419
Account Insight
Score
22.52%
Index
Health Rate
%
Users Ratio
0:1
Weeks posts
36 5
8 months ago
Rapa namba moja Tanzania ni @professorjaytz kwa mujibu wa @sumamnazaleti_ Follow Us On Social Media ‎Instagram - @jembefmtz ‎Facebook - @jembefmtz ‎X(Twitter) - @jembefmtz ‎TikTok - @jembefmtz ‎Thread - @jembefmtz #AhsanteKwaTime #Familiamoja #10YrsJembefm ‎
0 1
9 days ago
Watengeneza maudhui na watu maarufu kuingia kwenye muziki wa Hip hop ni chanzo cha kuharibu utamaduni wa Hip hop lakini pia inasaidia kuupaisha Hip hop zaidi. Mtazamo wa mchambuzi wa muziki wa Hip Hop @sumamnazaleti_ Follow Us On Social Media ‎Instagram - @jembefmtz ‎Facebook - @jembefmtz ‎X(Twitter) - @jembefmtz ‎TikTok - @jembefmtz ‎Thread - @jembefmtz #AhsanteKwaTime #Familiamoja #10YrsJembefm ‎
0 1
9 days ago
"Umoja ni ushirikiano na utengano ni ushaifu" kutoka kwa @pmawenge wakati wa mahojiano na @jembefmtz Follow Us On Social Media ‎Instagram - @jembefmtz ‎Facebook - @jembefmtz ‎X(Twitter) - @jembefmtz ‎TikTok - @jembefmtz ‎Thread - @jembefmtz #AhsanteKwaTime #Familiamoja #10YrsJembefm ‎
0 2
13 days ago
Raper wa taifa @pmawenge ameweka wazi namna wazo la nyimbo ya sawa lilivyo patikana kwanzia kwa @black_ninjaah @gnakowarawara mpka kwa @songa @nikkimbishi999 na @lordeyesmweusi
0 7
13 days ago
Muziki wa HIP HOP ni biashara pendwa nchini. Follow Us On Social Media ‎Instagram - @jembefmtz ‎Facebook - @jembefmtz ‎X(Twitter) - @jembefmtz ‎TikTok - @jembefmtz ‎Thread - @jembefmtz #AhsanteKwaTime #Familiamoja #10YrsJembefm ‎
0 4
24 days ago
Mwandishi wa wimbo wa @alikamwe Follow Us On Social Media ‎Instagram - @jembefmtz ‎Facebook - @jembefmtz ‎X(Twitter) - @jembefmtz ‎TikTok - @jembefmtz ‎Thread - @jembefmtz #AhsanteKwaTime #Familiamoja #10YrsJembefm ‎
0 1
24 days ago
Msemaji wa klabu ya Yanga @alikamwe aweka wazi sababu kuingia kwenye mziki wa HipHop.. Follow Us On Social Media ‎Instagram - @jembefmtz ‎Facebook - @jembefmtz ‎X(Twitter) - @jembefmtz ‎TikTok - @jembefmtz ‎Thread - @jembefmtz #AhsanteKwaTime #Familiamoja #10YrsJembefm ‎
0 5
24 days ago
#Watengwa kuibariki hip hop Tanzania 2026 kutokana na mwamko wa #watengwa? Follow Us On Social Media ‎Instagram - @jembefmtz ‎Facebook - @jembefmtz ‎X(Twitter) - @jembefmtz ‎TikTok - @jembefmtz ‎Thread - @jembefmtz #AhsanteKwaTime #Familiamoja #10YrsJembefm ‎
0 0
1 month ago
#Watengwa kuja na Albamu yenye baraka zote za mwaka 2026 kipindi cha kiangazi. Follow Us On Social Media ‎Instagram - @jembefmtz ‎Facebook - @jembefmtz ‎X(Twitter) - @jembefmtz ‎TikTok - @jembefmtz ‎Thread - @jembefmtz #AhsanteKwaTime #Familiamoja #10YrsJembefm ‎
0 4
1 month ago
DJ D Ommy ameweka wazi kuwa ameamua kupanua wigo wa kazi yake kwa kuingia rasmi kwenye utayarishaji wa muziki wa Hip Hop ambapo hatua hiyo inalenga si tu kuendeleza kipaji chake, bali pia kusaidia kukuza wasanii chipukizi kwa kuwapa sauti mpya na ubunifu tofauti katika muziki wa kizazi kipya. Follow Us On Social Media ‎Instagram - @jembefmtz ‎Facebook - @jembefmtz ‎X(Twitter) - @jembefmtz ‎TikTok - @jembefmtz ‎Thread - @jembefmtz #AhsanteKwaTime #Familiamoja #10YrsJembefm
0 0
1 month ago
Msanii P Mawenge ameeleza kuwa wazo la kuandika ngoma yake “Trust No One” lilichochewa na matumizi ya teknolojia ya AI (Artificial Intelligence), ambapo alitumia mifumo hiyo kupata mwanga wa mawazo, maneno na mitindo mipya ya uandishi wa muziki. Amesema AI ilimsaidia kupanua ubunifu wake kwa kumpa mitazamo tofauti kuhusu maisha, mahusiano na tahadhari katika kuaminiana, jambo lililopelekea kuibuka kwa ujumbe mzito ndani ya wimbo huo. Hata hivyo, amesisitiza kuwa pamoja na msaada wa AI, hisia halisi na uzoefu wake binafsi ndivyo vilivyokamilisha utunzi wa ngoma hiyo na kuipa uhalisia unaogusa wasikilizaji. Follow Us On Social Media ‎Instagram - @jembefmtz ‎Facebook - @jembefmtz ‎X(Twitter) - @jembefmtz ‎TikTok - @jembefmtz ‎Thread - @jembefmtz #AhsanteKwaTime #Familiamoja #10YrsJembefm ‎
0 0
1 month ago