Baada ya mahojiano naye yaliyodumu kwa zaidi ya nusu saa akasema nimefurahi kukutana na jirani yangu huku, ambaye amenipa zawadi ya interview nzuri ya kiswahili, tupige picha moja🤣🤣 Such a Cool President. (SLIDE)
Asante sana Mheshimiwa Kenyatta, Rais Mstaafu wa Kenya kwa muda wako na kwa ku-share na sisi mengi kuhusu uongozi, siasa na Demokrasia ya Afrika kwa ujumla wake. Hakika #Wacloudsania watafaidi mazungumzo yetu kupitia platforms zote za #CloudsMedia Cc: @cloudsfmtz@Cloudstv
———————————
After an interview that lasted over half an hour, he said, ‘I’m glad to meet my neighbor here who conducted a great Swahili interview; such a Cool President.
Thank you very much, Honorable Kenyatta, Former President of Kenya, for your time and for sharing with us insights on leadership, politics, and African democracy in general.
Nichukue nafasi hii kumshukuru Rais Mstaafu wa Nigeria, Goodluck Jonathan kwa kuketi na mimi kwa takribani saa nzima hapa Jijini Johannesburg na kuzungumza mengi kuhusu uchaguzi unaoendelea Nchini hapa na siasa za Afrika kwa ujumla. Kiukweli nimevuna mengi kutoka kwake na kwasababu sinaga tabia ya uchoyo, kesho kupitia Power Breakfast na platforms nyingine zote za #CloudsMedia utasikia sehemu ya mazungumzo yetu.
———————
I’d like to express my gratitude to Former President Goodluck Jonathan for meeting with me in Johannesburg for an insightful discussion lasting nearly an hour. We delved into various topics, including the current elections in South Africa and broader African political dynamics. I gained valuable insights from our conversation, and tomorrow, I’ll be sharing some highlights on Power Breakfast and other #CloudsMedia platforms.
JITIHADA ZA KILA SIKU HUZAA TABIA YA BIDII NA TABIA YA BIDII HUZAA MAFANIKIO..
Nimepata nafasi ya ku-interact na wafanyabiashara wakubwa kama Rostam mara kadhaa kwa biashara na mambo mbalimbali ya kijamii na ukiniuliza baadhi ya mambo nayoendelea kujifunza kwao ni kwamba; Mafanikio ni zao la tabia ya bidii na ndio maana kwa mpambanaji wa kitaa siku zote huwa anashangaa kwanini mtu mwenye mafanikio makubwa huwa bado anaendelea kupambana tena hata kuliko yeye ambaye bado hajatoboa..
Jibu ni Simple; Mpaka unamuona mtu ana mafanikio maana yake ana miaka mingi ya kutosha nyuma yake ya kupambana, jambo ambalo linapelekea kujenga tabia (Mazoea Hujenga Tabia) ambayo haifi hata akishatoboa.
Imagine! Nimempigia simu Rostam jana saa tatu kasoro usiku wa jana kumkumbusha kuhusu panel discussion yetu ya saa 12 asubuhi ya leo akaniambia yupo Nairobi ila angependa sana kushiriki akaniambia atasikitika sana kuikosa, akaniomba nimpe muda afirikirie namna ya kufanya, saa sita usiku ndio ananiambia amepata ndege na usiku sana ndio akatua Dar, kalala masaa mawili na saa 12 kamili asubuhi tulikuwa nae Serena Hotel..
To summarize; hapa kuna shule ya kanuni nyingine ya mafanikio nayo ni KUJENGA TABIA YA BIDII ili izae USHINDI wa kutimiza Ndoto zako🙏🏿🙏🏿
#RostamAziz
Kwa nini uhangaike kufata bidhaa wakati ukija kununua bidhaa zetu Prime_storestz tunakuletea mpaka ulipo!!
Karibu sana tupo Dar Village Mikocheni.
Bidhaa zetu Zina ubora wa hali ya juu na bei yake ni ya kirafiki kabisa
#primestoreschimbojipyamjini
This moment is for everyone who believed in me when I was just getting started😊
Till now am Miss Grand University Tz 2026
#fyp #missgranduniversity #missgrandtanzania2026
Ikigai Safaris Car Hire and Transfer Services
Move with confidence wherever your journey takes you
Professional transfer arrangements ndani ya jiji nje ya jiji na kimataifa kwa watu binafsi kampuni na wageni
Airport pick up na drop off
City na hotel transfers
Intercity na long distance travel
International transfer arrangements kupitia washirika wetu
Car hire na dereva mzoefu
Corporate transport na executive travel
Event meeting na business transfers
Magari safi salama yenye AC na faraja
Huduma inapatikana saa 24
Booking 0682 972 757
#IkigaiSafaris #CarHire #AirportTransfer #CityTransfer #InternationalTransfer ExecutiveTravel CorporateTransport PrivateTransfer
Umeme unakatika mtaa mzima, Lakini Willan Emergency Bulb inaendelea kukupa mwanga kwa zaidi ya masaa 3 mfululizo!
Willan Emergency Bulb inang'arisha ndani na nje ya nyumba yako kama hakuna kilichotokea. Usikubali kukaa gizani Suluhisho la Uhakika lipo hapa.
Wanapatikana, Mtaa wa Narung'ombe na Gogo, Kariakoo @downtown_tanzania . Wasiliana nao kwa namba 0749 335 307
#maafsausafirishaji #afrikanna #willan #willanmbeleyamuda #DowntownKariakoo
Sio AI ni maisha halisi, Mambo mazuri yanapatikana Prime Stores.
Fika dukani kwao waambie umewaona maafisa usafirishaji walikuja hapa. Wanapatikana Dar Village, Ground Floor B12
cc: @prime_storestz