Msanii @Iamtuphy amefunguka kuhusu nafasi ya teknolojia ya kisasa, hususani Akili unde (AI), katika tasnia ya muziki, akisisitiza kuwa ubunifu wa msanii bado una nafasi kubwa licha ya mabadiliko hayo.
Tuphy amesema kazi zake zote ni halisi na zinatokana na ubunifu wake binafsi. โMuziki wangu si wa AI, ni original kabisa unatoka kwangu, kwenye fikra zangu na sauti yangu mwenyewe. Naweza kusema huu ni sauti ya kizazi changu,โ amesema.
@babamankaofficial
๐ธ @flamingo_dr_
#nurufm
#nurudigital
Msanii @Iamtuphy amezungumzia kwa kina maandalizi ya tamasha kubwa la Caribbean Vibes, akibainisha kuwa mashabiki wanapaswa kutarajia burudani ya hali ya juu na vibe halisi za muziki wa Caribbean.
Akizungumza na Nurudigital @amtuphy amesema kuwa tukio hilo litakuwa la kipekee, likiwaunganisha wasanii mbalimbali jukwaani kwa lengo la kuleta burudani pamoja na ujumbe kupitia muziki wa Reggae na Dancehall.
Tamasha la Caribbean Vibes limeandaliwa na Switchers Entertainment na linatarajiwa kufanyika April 24 Backyard Lounge, Manispaa ya Iringa likutajwa kuwa na usiku wa kipekee uliojaa burudani, vibe na muziki halisi wa Reggae & Dancehall.
@babamankaofficial
๐ธ @flamingo_dr_
#nurufm
#nurudigital
Leo 21 April 2026 Nurudigital tumefanya mahojiano maalum na baadhi ya wasanii kuelekea tukio kubwa la Caribbean Vibes, lililoandaliwa na Switchers Entertainment. Wasanii hao wamezungumzia mambo mbalimbali ikiwemo safari zao za muziki, maandalizi ya tukio hilo, pamoja na kugusia kwa kina imani ya Rastafari na mchango wake katika muziki wa Reggae.
Endelea kufuatilia kurasa zetu za mitandao ya kijamii kwa taarifa Zaidi.
@babamankaofficial
๐ธ @flamingo_dr_
#nurufm
#nurudigital
BADMAN PRAYERS VISUALS OUT NOW On YouTube.
Track No. 15 off โThe New Seasonโ ๐ฟ Album
Ft @iamtuphy ๐น๐ฟ.
This is a dedication to everyone who believes ambitious hustle who believes in themselves.
Stream and Download Audio Available On All DSPs.
Link ๐ in bio.
Written,Produced & Performed By #vinconthebeat & #tuphy
IRINGA GET READY! ๐ฅ๐ฏ๐ฒ
Switchers Entertainment bring you CARIBBEAN VIBES ๐ด๐ถ
Live performance by TUPHY @iamtuphy ๐ค๐ฅ bringing pure Reggae & Dancehall energy to the stage!
๐ Backyard Lounge
๐ Friday, April 24th
Good music โข Good vibes โข Island energy ๐ด
Pull up with your crew and come experience the Caribbean vibe live! ๐๐๐ฝ๐ฅ
GENTOK | #ONAIR
โKusomea muziki siyo njia ya kufanikiwa kwenye industry ya muzikiโ
@iamtuphy amesema kuwa kuna baadhi ya wasanii wengi hawaja soma muziki ila wanafanya vizuri, na hata ukisomea inahitaji upate elimu ya mtaani pia.
๐ The Winning Team:
@mamen_nobo | @licky_dash | @mohaah_wa_hunter | @official_kingdavo | @filyfilbert
๐ง @djsqurtz
๐๏ธ @am__kiki
๐๏ธ @kaswalalapictures
๐ป 92.5 MJINI FM
๐บ YouTube: Mjini FM
๐ Live Stream: www.mjinifm.co.tz
#MjiniFM #GenToK #KwetuNiKwako