February Omary

@februaryomar

•Award winning presenter •Tv & radio personality work with @eastafricaradio @eastafricatv •Voiceover artist,Dj & Mc •B.A @zuuu_collection
Followers
25.2k
Following
734
Account Insight
Score
38.24%
Index
Health Rate
%
Users Ratio
34:1
Weeks posts
Mara Zote nimekuwa nikitamani kuona Tanzania 🇹🇿 Inazalisha Ma Superstar wengi Kadri tuwezavyo kama ilivyo kwa wenzetu Nigeria 🇳🇬 Hapo ndipo nikatamani kupata maoni ya Media Mogul nchini Big Joe @josephkusaga , Moja ya jambo analotamani litokee ni umoja Baina ya Wadau wa Sanaa na Wasanii weenyewe…Msikilize hapo na wewe Toa maoni yako…✍️ NB:Hizo Recognitions za #BigJoe Zisichukulii poa hata Kidogo 🙌🏼 Aluta Continua 🏃‍♀️
0 12
6 days ago
HELLO TAJIRI 👋 NIPO TAYARI KUWA BALOZI WA KAMPUNI NA BIASHARA YAKO SASA 🤝🫶 Let’s Talk About 1 Million Views hapo Slide Ya Pili 😘🤗 That is my Dashboard 🙌🏼 Numbers don’t Lie…So Let’s Work together🥂📌 NAWAPENDA 🥰
357 52
12 days ago
MSHAHARA WANGU HAUPATIKANI KIRAHISI 😅😅🙌 Niwaombe tu tukutane saa 12 jioni kwenye #eNews ya @eastafricatv nipo hapo ndugu yenu 🤝🙏 #mynameisfebruary #eNewz
938 91
5 months ago
Time For Part TWO 🤗 Hapo nikapelekwa kuuona MTI MZEE ZAIDI Unamiaka zaidi ya 300 Imagine 🙌🏼 Mti huu upo ndani ya Eneo walipozikwa Askari waliopigania Uhuru Miaka hiyoo hapa Jijini Mbeya Ninayo moja ya Mwisho,Ndugu Zangu WANYAKYUSA Chagueni Muda gani niiPost🤗🤝..Niandikieni Kwenye Coment Hapo…✍️ #mynameisfebruary #callmefebi #UtaliiWaNdani 🔥 #historia
90 11
15 hours ago
Baada ya kumalizana na Mbeya Tulia marathon nilipata nafasi ya kufanya utalii wa ndani kidogo hapa jijini Mbeya #Homesweethome na kupata baadhi ya historia ya maeneo Fulani…Sasa hapa ndipo kilomita huanza kuhesabiwa..Mfano Mbeya Mpaka Dar ni #KM822 basi hapa kwenye Mnara Huu ndo zinaanza kuhesabiwa Hii ni party 1 ninayo party 2 ya eneo jingine kaa karibu na page yangu 🤗🤝 Big S/O kwa @livvet_japhet #mynameisfebruary #Callmefebi
251 40
22 hours ago
Vibe la kilele cha Betika Mbeya tulia marathon 2026 ikiwa ni msimu wa 10 🏃 🏃 Hapa mh. @tulia.ackson pembeni mtu wa burudani @februaryomar 🔥 🔥 Cc. @tuliatrust_tz #betikambeyatuliamarathon2026 #Afya #Elimu
0 26
1 day ago
Leo tumezichapa mbio fupi tayari na zilikuwa kuanzia M100, M200, M400, M800 Na M1500 ..kwa atakaye kisia nimekimbia Mita ngapi mimi nina ZAWADI yake 💵 💸 🤗🤗...Chap jaeni kwenye Coments section hapa 👇 #mynameisfebruary #callmefebi #BMTM2026 Cc. @tuliatrust_tz 📸 by @its_ecky
0 43
2 days ago
Live kutoka Sokoine Mbeya kwenye Betika Mbeya Tulia Marathon 2026 msimu wa 10, wenzako tunakata wese huku tunaboresha miondombinu ya Elimu na Afya 🙌🏼 #betikambeyatuliamarathon2026 #tulia_trust #Afya #elimu
244 28
2 days ago
KARIBU UKATE UPEPO UPIGE MPUNGA NDANI YA BETIKA MBEYA TULIA MARATHON 2026 ‎Njoo ujisajili katika uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya ‎ ‎Maelezo zaidi piga Simu 0767860515 na 0763828271. ‎ 📍Betika Mbeya Tulia Marathon 2026 #BetikaMbeyaTuliaMarathon2026 #BMTM2026 #TuliaTrustAt10 #Our10YearJourney #10YearsOfTuliaTrust
61 2
4 days ago
Chris Brown amewajia juu ambao wanaikosoa Album yake mpya ya 'BROWN' akiwaambia kama hawapendezwi na muziki wake basi wewe sio shabiki yake na umekosea njia kumshabikia. #eNewz @februaryomar
4,399 119
4 days ago
Muhimu nimetoka haijalishi naenda Deal gani Sema mie Nipo @eastafricaradio 📻 hapa …#Planetbongo matters 🎶 #mynameisfebruary #callmefebi
0 16
5 days ago
You are the only one to make it ….✍️📌 #mynameisfebruary #CallmeFebi 📌
0 18
8 days ago