Leo Mei 16, 2026, uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya umeshuhudia tukio la kihistoria wakati Tulia trust wakishirikiana Betika , walio andaa mbio za marathon za Tulia Mbeya. Hafla hii imekuwa ya kipekee ikiwa ni tukio la kila mwaka linalowaleta pamoja wanariadha kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania.
Katika mbio hizo za kilomita 42 kwa wanaume na wanawake, Betika tulia marathon imetoa motisha kubwa kwa wachezaji kwa kutoa zawadi kwa washindi wa kwanza na wa pili, bila kusahau zawadi kwa washiriki wa mbio za kilomita 5.
Hii ni ishara ya dhamira ya @tuliatrust_tz ya kuleta mabadiliko chanya katika jamii kupitia michezo na usaidizi wa maendeleo.
Tukio hili limehudhuriwa na watu mbalimbali kutoka jiji la Green City Mbeya na maeneo ya jirani, Pamoja na Viongozi wa serikali,likiwa ni sehemu ya juhudi za Tulia trust kufanikisha malengo yao ya kuboresha miundombinu ya elimu na afya kwa Wananchi wa mkoa wa Mbeya
Historia imeandikwa leo, na hii ni hatua kubwa inayoonyesha jinsi michezo inavyoweza kuleta maendeleo na umoja miongoni mwa wananchi wa Tanzania.
cc.@tuliatrust_tz@tulia.ackson
#twenzetumpangakipengere2026
#highlandsfm
#tumekufikia
UNCLE SAM NDANI YA BETIKA MBEYA TULIA MARATHON 2026🔥
📍Uwanja wa Sokoine, Mbeya
#BetikaMbeyaTuliaMarathon2026
#BMTM2026
#TuliaTrustAt10
#Our10YearJourney
#10YearsOfTuliaTrust
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Antony Mtaka pamoja na Club kubwa Mbeya Afya Kwanza, Kuipa nguvu Tulia Marathoni kwa kushiriki #tuliatrustmarathon iliyofanyika Mkoani mbeya.
.
#mbeyaafyakwanzajoggingclub
#mbeyayamazoezi
#jogging
#tuliamarathon