last_queen

@chido_point

πŸ‘±β€β™€οΈMsemaji wa wasusi tz πŸ–πŸΌ jumapili tunamsifu na kumuabudu Mungu aishie kazi zetu zitamtukuza Mungu πŸ“ž 0789387276 0715943461.kituo kimara corner
Followers
158k
Following
606
Account Insight
Score
45.47%
Index
Health Rate
%
Users Ratio
260:1
Weeks posts
Glory to God πŸ™πŸ»πŸ™πŸ» Mithali 31:30, hupendeleo hudanganya ,na uzuri ni ubatili , bali mwanamke amchaye BWANA ndiye atakaesifiwa . Asante MH @maryprisca_mahundi pamoja na wizara kiujumla @maendeleoyajamii kwa kuamua kilishika mkono kundi maalumu la salonist , kipekee mmewezesha pakubwa juu ya tukio hili tunasema asante sana Tunawashkuru wadau wote kwa kutuwezesha pia mmekua mchango mkubwa sana juu ya ufanikishaji wa tukio hili @janelle_stores_ mdada wa baraka utunzwe na yesu asante kwa kutushika mkono πŸ™πŸ» @mam__mashuka__store asante sana mdada wa baraka utunzwe na yesu asante kwa kutushika mkonoπŸ™πŸ» @rolandrobert_official asante Mr faragha tumefurahia uwepo wako mahali pale kwa nyimbo yetu pendwa inayotuvusha kila siku #faragha Wasusi wote,watengeneza kucha ,watengeneza kope mliojitokeza Mungu awabariki mno Tunawashukuru @milly_lomey asante sana umekua baraka mdogo angu ulihakikisha una host na kuongoza sifa n kuabudu kwa pamoja hii ni kubwa kwangu ❀️international gospel host @officialjanethnehemia asante sana kilasiku uwa unatambua thamani ya kazi ya Mungu inayofanyika mahali hapa nahujawahi kuacha kusapport ulihakikisha watu wanamuona Mungu kwa njia ya uwimbaji nakuona mbali mdog angu @minister_mickness_nemes asante san ndugu yangu kwa huduma nzuri sana tulibarikiwa mno natunabarikiwa kilasiku unapokuwa kwetu ni baraka πŸ™πŸ»πŸ™πŸ» @charles.florentina mdogo mwenye kunyenyekea mpaka mwisho mbele za Mungu na wanadamu asante sana kwa huduma yako wala mazingira hayakupangii nini cha kufanya unachojua kutumika katika pendo lake barikiwa sana ❀️❀️❀️❀️ @orel_studios mmekuwa watu wa baraka sana juu ya tukio hili mmetuwezesha sound,setupzote ,light decorations,full coverage πŸ‘πŸΌπŸ‘πŸΌ bila hivi mambo yasingeonekana hapa mbarikiwe mno @yieldedworshippers_tz mmekua vijana wa baraka sana mlihakikisha mnasifu na kuabudu bila kuchoka mmehakikisha kila alieingia amemuona Mungu kwa huduma yenu ya uwimbaji God bless you
518 22
26 days ago
Kutana na Saluni ya @chido_point ambayo imekuwa gumzo mtandaoni,kutokana na mind wake wa kipekee wa kusifu na kuabudu wakati wa kutoa huduma. Mwandishi wa BBC Veronica Mapunda ametembelea saluni hiyo na kutuandalia taarifa hii. πŸŽ₯: @frankmavura - #bbcswahilii #imani #dini #wanawake
22.9k 716
2 months ago
Haikua ibada ya kawaida kabisa we see you God Mungu sema na mioyo ya wanawake naowahudumia πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ Ee roho wa Mungu hdumia watu wako kadili upendavyo πŸ™πŸ»πŸ™πŸ» God is here πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™‡πŸ»β€β™€οΈπŸ™‡πŸ»β€β™€οΈ your so blessed women of God 😍msusiwauswahilini #msusinamamasamia
96.8k 4,720
2 months ago
Thank you darling πŸ™πŸ»πŸ™πŸ»πŸ™πŸ»pure heart🀍🀍🀍 Plz tunaomba mtufollow huku ndo tutakuwa tunapost nywele mpya na mambo yote ya chido point salon @chido_beauty_point
3,326 25
1 day ago
Embu mnifollow @dada_wakilokole kwa masomo mbalimbali tupo darasani bado tumjue Mungu tuwe na Amani na mema yatatujiliaβœπŸΌβœπŸΌβœ…
1,568 22
1 day ago
69 3
2 days ago
Nikikosa ibada nakosa amani asanteni sana wanangu kutoka @yieldedworshippers_tz mmekua baraka sana kwetu
1,053 27
2 days ago
Karibuni sana jamn πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
156 2
3 days ago
Ila wateja wangu washunu 😍😍😍😍😍ni vile tu page inamambo mengi ila tuasuka bwana πŸ”₯πŸ”₯njoo ticktok ufurahie style mpya kila siku ❀️ kule hatuna mambo mengi
299 0
3 days ago
Nywele za matajeer hizi Hajabond wala hajavaa wig ni crochet 55 kila kutu
796 11
3 days ago
Karibuni sana πŸ™πŸ»πŸ™πŸ»πŸ™πŸ»
13.3k 280
4 days ago
Karibu @chido_point kwa Huduma bora za Ususi #JIRANI Sikiliza CROWN FM kupitia 92.1 Mhz, Radio Box & Radio Garden tafuta CROWN FM. Tutazame Live kupitia YOUTUBE channel yetu CROWN MEDIA na CROWN TV kwenye Kisimbuzi cha Azam (DISH) ni chaneli namba 415. #CrownMedia #HapaNiNyumbani #TupoMwakaWaMbele
705 4
4 days ago