Bonie 🥷🏻

@bounce_tz

TV & Radio Host 🎙️ | Voice Over Artist | Infotainment With a Vibe⚡️ . Yooh! I’m a 𝙆𝙞𝙣𝙜 𝙊𝙫 𝙨𝙬𝙖𝙜𝙜𝙯 🥷🏻 Au Vipi eehh‼️
Followers
30.4k
Following
766
Account Insight
Score
38.98%
Index
Health Rate
%
Users Ratio
40:1
Weeks posts
🥷🏻❤️
212 88
7 months ago
🥷🏻❤️‍🔥
425 94
10 months ago
I’m still becoming the person i prayed to be 😌❤️‍🔥
162 61
5 months ago
Malkia wa muziki wa Bongo Flava Zuchu ameendelea kuweka historia kwenye muziki wa Afrika baada ya kuwa msanii pekee wa kike kutoka Afrika Mashariki kuingia Top 3 ya wasanii wa kike barani Afrika wenye views zaidi ya Bilioni 1 kwenye YouTube 🔥🌍 List hiyo inaongozwa na: 1. Tyla — 2.5B 2. Ayra Starr — 1.4B 3. Zuchu — 1.16B Aise kweli huyu ndiye kiboko ya Vigagula jamani kaah 😂😭🔥🙌🏻 #entertainment #explore #like #viral #reels Follow @m2badnews
149 61
6 hours ago
Wakati dunia ikiendelea kujadili hatua kubwa ya msanii wa hip hop Drake baada ya kuachia album tatu kwa mpigo, upande wa Afrika Mashariki nao hauko nyuma kupitia msanii wa Bongo Flava @harmonize_tz ambaye ameweka historia ya kipekee kwa mfululizo wa album tano ndani ya miaka mitano mfululizo 🤯🔥🦅 Album hizo ni 👇🏻👇🏻 • Afro East (2020) • High School (2021) • Made for Us (2022) • Visit Bongo (2023) • Muziki wa Samia (2024) Hii ni rekodi inayoendelea kumuweka Harmonize kwenye orodha ya wasanii wenye uthabiti mkubwa wa kazi Afrika Mashariki, ikiwa ni ishara ya consistency na kasi ya hali ya juu katika tasnia ya muziki 🔥🙌🏻 Rekodi kama hizi zinaonesha wazi ukubwa wa ushindani wa muziki wa Afrika leo!
1,020 100
10 hours ago
WE GOT THREE DRAKE ALBUMS AT ONCE… THE MUSIC INDUSTRY IS FINISHED 😮‍💨🧊 this ain’t even a debate anymore…drake is really the goat of hip hop. numbers, consistency, influence, hits bro got the whole package. 😭🍿 #Rap #album #entertainment #explore #comment follow @m2badnews 🙏🏻🙏🏻
3,660 337
1 day ago
Chemistry ya @Harmonize_tz na @Director_kenny kwenye music videos zao ni top notch kabisa 😭❤️🎥 Kila project ambayo Kenny amefanya na Konde inaonekana wazi kabisa hawa watu wana maelewano makubwa kwenye kazi yao. Na hii imejidhihirisha tena kwenye music video mpya ya “Yazoee” iliyotoka leo… duuh hawa watu ni hatari 🔥🎥🙌🏻 #entertainment #viral #explore #comment #like follow @m2badnews 🙏🏻
1,345 71
1 day ago
Thank you Nora for the love ❤️ you just made my day 100x better 🥹🫂
1,179 98
2 days ago
COUNTDOWN TO ‘ICEMAN’: DRAKE’S NEW ALBUM DROPS IN LESS THAN 10 HOURS ⏳😭 Drake is ready to shake the world once again as ‘ICEMAN’ drops tonight 🥶❄️🧊🧊😭 #rap #album #viral #entertainment #reels Follow @m2badnews
283 22
2 days ago
Oyaah! Wanangu @norafatehi tayari yupo Zanzibar yuko na mnyawezi wetu @rayvanny 😭❤️🇹🇿🔥🙌🏻 Nauona Moshi mweupee Chui 🐯kwenda Kuperform FIFA WORLD CUP 2026 🌍🦅 Kama Sio @Rayvanny hi heshima tungepata wapi sisi jamani daaah! 😭😭 #fifaworldcup #entertainment #explore #comment #viral Follow @m2badnews
499 43
2 days ago
🚨BREAKING NEWS: Mwanamuziki @rayvanny tayari amewasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa, Abeid Amaan Karume, Zanzibar kwa ajili ya kumpokea Mwanamuziki wa Kimataifa kutoka India @norafatehi ambaye anakuja nchini kwa ajili ya shughuli za muziki. 🥹❤️🇹🇿 Oyaa kaka yangu Chui naomba umlete huyo Tabata aje nimuone pleasee 🙏🏻🫶🏻 #entertainment #viral #explore #reels #comment Follow @m2badnews
2,742 95
2 days ago
Msanii @gigy_money_og ameeleza Sababu kubwa iliyofanya agombane na msanii mwenzie mwanadada @officialzuchu Kutoka WCB WASAFI 🥹❤️ Gigy anabusara sana huyu dada mungu ambariki sana AMINA! 🫂🥹❤️ #entertainment #explore #viral #reels #comment Follow @m2badnews 🙏🏻
165 9
3 days ago