Home bdozenPosts

Hamisi B Mandi

@bdozen

Radio & Tv Personality working with Clouds Media #BornToShine & DozenSelection Founder UN Champion 🇺🇳 Proudly🇹🇿
Followers
2.4m
Following
1,100
Account Insight
Score
76.25%
Index
Health Rate
%
Users Ratio
2207:1
Weeks posts
Hii Story Ya @mwanafa najua inagusa maisha ya wazazi wengi saa hii Full interview tumekuwekea #YouTube channel ya #DozenSelection Link kwenye Bio
33.5k 382
5 days ago
Next, kwenye @dozenselection ni @mimi_mvrs11 Kindly subscribe kwenye #YouTube 🔔 #DozenSelection
32.3k 247
1 month ago
Baada ya muda wa ukimya… sasa ni muda wa kusikika tena 🎧 #NewContent #FreshEnergy #RealConversations Don’t miss the next episode na Mzee wa Commercial @aytanzania weekend hii! #PodcastInterview #DozenSelection
27.5k 345
1 month ago
Marafiki zako ni kina nani, Na Hua unaishi nao vipi baada ya kupanda cheo au kufanikiwa au kushuka kimaisha? Hii nakuuliza wewe!! Ila hapa mskilize @mwanafa na story ya marafiki zake. Full interview ipo #Youtube Channel ya #DozenSelectin link kwenye bio
12.2k 200
2 days ago
Embu angalia ubora Nyumba zetu @no7gardenmasaki Bei ni zile zile kuanzia Milioni 200 tu itategemea na wewe unataka Nyumba ya ukubwa gani Tuna Nyumba za kuanzia chumba kimoja mpaka vyumba vinne Kwa ukubwa (square meters ) tofauti tofauti Wasiliana nasi Kwa number 0740288888 Kwa normal call na whatapp Au fika office zetu za mauzo Mwaya Street, (location Andika UPENDO BOUTIQUE HOTEL) Wahi Sasa zimebaki Chache sana
1,159 38
5 days ago
Tumepiga story na @mwanafa kuhusu muziki, maisha, familia na safari yake ya kuwa mmoja wa viongozi vijana ndani ya serikali. Ulikua wakati mzuri sana na tunakushukuru FA kwa muda wako. Tayari tumekuwekea #YouTube Channel ya DOZEN SELECTION 🎥🔥 #PodcastInterview #Dozenselection #MwanaFA
21.5k 363
7 days ago
Kesho kwenye episode nyingine ya @dozenselection ina mengi tulio share na @mwanafa Kwa sasa subscribe kwenye #YouTube channel ya #DozenSelection Link kwenye Bio
3,598 89
8 days ago
BUDAPEST here we Come🤩🤩 Yaani ndio tunakuja hivyo #SisiHao #COYG🔴⚪️#TheFinalists
4,135 154
11 days ago
Pata Nyumba ya Ndoto zako MASAKI kwa kuanzia Milioni 200 tu kupitia mradi wa @no7gardenmasaki Wasiliana nasi Kwa number 0740288888 Kwa normal call na whatapp Au fika office zetu za mauzo Mwaya Street, (location Andika UPENDO BOUTIQUE HOTEL) Wahi Sasa zimebaki Chache sana
760 29
12 days ago
May's Activated! Schedule? Tight. ACEANS MAYDNESS🚀 #AcesTz #Maydness #InArusha
297 1
15 days ago
@mcgarab anaamini kama Kitchen Party za Ukweli zikirejeshwa, zitapunguza ndoa nyingi kuvunjika!! Maana kuna mengi walikua wanafundishwa kule… Full interview ipi #Youtube #DozenSelection link kwenye Bio
3,519 31
15 days ago
01.05.26 📸 @goodheart__tz
0 117
15 days ago