Home babutalePosts

Babu Tale

@babutale

Member of Parliament,Morogoro Kusini Mashariki Artist manager @diamondplatnumz @wcb_wasafi Founder of TIPTOP Connection #GodfatherTale
Posts
9,057
Followers
4.5m
Following
849
Account Insight
Score
78.7%
Index
Health Rate
79.91%
Users Ratio
5319:1
Weeks posts
11.11
Leo dozi imeongezeka kidogo ya matembezi yakulinda Afya. Ila leo matajiri zangu mmenifunza jambo kwenye eneo la kupenda viatu @mustapha.s.b @jrjunior5 @desyulimali @mwijaku Basi tukakutana na kijana naona amekaa mbele anatufotoa Asante sana @mtembezi_brand kwa hizi kumbukizi za kuwatambia wajukuu uzeeni #theblackgodfather
898 26
1 day ago
Tunajenga Afya maana kwa umri huu Ligi tunayopambana nayo ni magonjwa yasiyo ambukiza @fadhilliwaka #theblackgodfather
1,580 29
4 days ago
Afya ni nyenzo ya kuelekea nguvu kazi ya kuelekea maendeleo ya kweli. Sisi Wana Morogoro Kusini Mashariki kwa dhati tunamaamini kuwa, ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro na Hospitali ya Halmashauri ya ……ni ukombozi mwingine baada ya manufaa makubwa ya SGR. #theblackgodfather
133 5
5 days ago
Mtu ni Afya na hii ni kuelekea Mbeya siku ya jumamosi kwenye @tulia.ackson Marathon haina kupanda Bajaji hii…💪💪 #theblackgodfather
4,635 194
5 days ago
Nimemletea zawadi ya maua bint yangu kama zawadi ya siku ya Mama Duniani Ingawa leo hii nasimama kama Mama na Baba kwake ila naamini na yeye atakua Mama yangu wakunilea uzeeni pale Mungu atakaponipa umri mrefu. Happy mothers day my @babytatyana
14.3k 239
7 days ago
Happy birthday Mwana wa Ukae Kingo mtu na roho yako. Mungu aendelee kukusimamia kaka
293 19
8 days ago
Sikumbuki nimekuona wapi,ila hii ngoma yako nikali na zawadi pekee ambayo ningependa nikupatie ni kukulipia video ya hii ngoma. Popote ulipo mtafute @madeeali japo yeye Anaamini hizi ngoma haziuzi .. mimi naamini hii yako inaenda kuuza na kukufungulia Milango mingine siku za usoni,nimemuagiza @madeeali akutafute,au kama una namba yake Mpigie kabla siku yaleo haijaisha!! #theblackgodfather
16.9k 702
10 days ago
Picha ya pamoja na Mhe. Waziri mwenye dhamana ya Ulinzi wa Taifa, babu yangu ninaye mheshimu kutoka kanda maalum, Dkt. Rhimo Simeon Nyansaho. @nyansahofdn #theblackgodfather Asante @jm_international_collection
5,501 423
18 days ago
Innalillah waina illahy rajiun Mwenyezi Mungu akusamehe makosa yako na akuondolee adhabu ya kaburi kaka
8,301 159
20 days ago
With my Kaka @tamir_mrkucheka hapa najiona mimi wa mwaka 1997 #theblackgodfather
7,734 99
21 days ago
Leo ni kumbikizi ya kuzaliwa ya Mama TT Mungu aendelee kukupumzisha salama Mkewangu. Mimi na watoto leo tunakula keki kwa niaba yako na kupiga dua kidogo hili ni lako maana hatuna zawadi ya kukupa zaidi ya kukuombea kwa Mungu akupumzishe salama. #happyBirthdayShamsaKombo #theblackgodfather
11.1k 421
23 days ago
Happy birthday Baba Saida. Happy birthday Bwana Harusi aka mzee wa kimya kimya. Leo kazaliwa mwanangu wa dhahabu mwenye uvumilivu na hivi dunia inaona akivumilia kombe likibaki kwenye jiji la Manchester 😀😀😀 happy birthday @madeeali Mungu akupe maisha marefu nialike basi sipigi picha mkuu😀😀 #theblackgodfather
5,889 55
24 days ago