Home _kusah_Posts

"BROW"🤴🏻

@_kusah_

BUMBULI🇹🇿
Followers
2.2m
Following
954
Account Insight
Score
75.96%
Index
Health Rate
%
Users Ratio
2364:1
Weeks posts
For Booking ❤️
488 22
1 day ago
This sound #KamaSio is taking over TikTok🔥❤️ Can you match this energy??? Runn it Up On Bio🔗
0 3
2 days ago
My brother …Nashindwa hata nikuweke fungu gani lakini katika vitu navichukia na kuvikataa kwenye maisha yangu ni mtu kula jasho langu kwa njia ya udanganyifu bro tumevuka nakupitia mengi sana hadi kufika hapa sisi sio wajinga kama ulivyowaza acha kunitoa kwenye mchezo nilipanga kuishi na kila mtu vizuri maana najua hapa tunapita sasa usiharibu hii kitu kwenye mfumo wangu 🙏 Halafu mbaya zaidi Unafanya utapeli na ujinga wako wote ukiwa na mwanao wa kumzaa tena bwana mdogo kama anamiaka mingi basi ni 15 huoni kama unamtengenezea njia ngumu sana wewe ni baba wa aina gani?? . Halafu mnatapeli na watu Kisha mnafunga namba zenu na mawazo yenu finyu yakujua watu wanakutana kupitia simu tu 😊 Kama umepata ujumbe huu kwa njia YOYOTE tuna siku 2 tu za kutafutana na kurejesha kila ulichochukua baada ya hapo sitakutafuta tena na sitapokea chochote kutoka kwako mjanja wa town ✅ Nasisitiza tena mtoto wako ni mdogo sana usimuingize kwenye vitu vya ajabu unatengeneza BOMU na siku litakulipua vibaya mno NB : YOYOTE ANAEMFAHAMU AU MWENYE TAARIFA ZA HUYU JAMAA NICHECK DM NAJUA KAWALIZA WATU WENGI SANA TUMALIZANE NAE 🥂❤️ PICHA NA VIDEO TU NINAZO NYINGI SAANA 🙏
15.1k 1,438
3 days ago
Utazania sio wangu????? ❤️❤️❤️❤️✨✨✨ W/ @mkwizumary80 please NAOMBA mum follow my gee ❤️ 🎶 @_kusah_ @harmonize_tz #trending #tanzania🇹🇿 #challengeaccepted #viralreels #viralreels
278 13
4 days ago
465 44
6 days ago
0 14
7 days ago
KWANI @harmonize_tz bado hajatoa hit nyingine uko jamani Hii nyimbo naiskiliza mpaka simu inaisha chaji jmn wooi🙌🙌
450 16
7 days ago
173 4
8 days ago
Soft steps, heavy vibes 💫 🎙️ @harmonize_tz / @_kusah_ Dc me ☝️ #reelsofinstagram#instagramreels#reelsvide#reelsviral #reelsinsta
0 44
9 days ago
KAMA SIO❤️ STELL TRENDING GOOD MUSIC ALAIVE 🎙 @_kusah_ X @harmonize_tz 🐘 DRIPPING @panya_msafi77
0 6
10 days ago
Moja Ya Ngoma Kali Kuwahi Kutokea Kwenye Kiwanda Cha Muziki Msimu Huu Na Baadae 🏆❤️ Asanteni Kwa Kuendelea Kuifanya Bora “KAMA SIO” X 🤴 @harmonize_tz Link On Bio 🥂 🎥 @xonyvisual 🙌🙌
3,431 95
12 days ago
Hii Ngoma Ni Kali Saana 😊❤️🎵 “KAMA SIO”
927 43
15 days ago