Ni Wanamuziki wamekutana tena kwenye hii ngoma sio wasanii, rudia hapo ni wanamuziki sio wasanii!
Pure talent, pure sounds na ladha ya muziki imesikika kwenye hii ngoma ya Finale ya
@bienaimesol na
@officialalikiba ambayo kiujumla imetupa good music.
Ndio kwanza imetoka leo lakini huwezi kuipa muda kwamba usijue kuwa hii ni ngoma kali au mpaka uisikilize kwa kulazimishwa na challenges za content creator.
Kingine cha mwisho Bien amekutana na size yake, ngoma zilizotoka hivi karibu alizoshirikiana na wabongo kawatawala sana ila humu amekutana na mkali wa hizi kazi.
Nimependa nilichosikia🙌Good for the game
@bienaimesol @officialalikiba @kingsmusicrecords