Mo has raised Tanzania’s flag higher.
He represented our nation at the _Africa Forward_ summit in Kenya, before over 30 heads of state and 40 private sector leaders.
And that’s not all—TIME Magazine recognized him as one of the 100 most influential people and top philanthropists in the world.
This isn’t just Simba’s luck. It’s a favor from Allah to all of us.
We were born with a treasure. And treasures like this protect and uplift a nation.
Let’s guard it, value it, and stand by it.
Congratulations, Mo. Tanzania is proud of you.
_PS: I know some people will come with insults now. They’ll call me a “chawa” and say I’ve been bought. Let them be—they’ve chosen to close their eyes to the truth. Or they see it, but they’ve just decided to fight against it. We can’t stop them, but we won’t stop speaking the truth because of their noise_ 😂
Safari ya kijana huyu haikuwa rahisi, ilianzia hapa hapa kwenye mkesha wa Mwenge wa Uhuru, kupitia mchuano mkali dhidi ya vijana wenzake wenye vipaji mbalimbali katika mkesha huu.
Ndipo ,Mhe. Waziri wa Katiba na Sheria na Mbunge wa Jimbo la Namtumbo, ndoto ya kijana huyo imeanza kupata mwanga mpya, jambo lililogusa hisia za wengi na kuleta matumaini kwa vijana wenye vipaji ndani ya Namtumbo. 🇹🇿🔥
Hakika mwenge wa uhuru umeleta matumaini kwa wasanii chipukizi Namtumbo.
Furaha na matumaini vimetawala kwa wananchi wa baada ya , Waziri wa Katiba na Sheria na Mbunge wa Jimbo la Namtumbo, kuahidi kumsapoti kijana huyu aliyeonyesha kipaji kikubwa cha kuimba mbele ya @tundamantz katika mkesha wa Mwenge wa Uhuru.
Hatua hiyo imegusa hisia za wengi, huku wananchi wakieleza kuwa Mhe. Homera ameendelea kuwa faraja, mlezi na mtetezi wa vipaji vya vijana wa jimbo la Namtumbo kwa kuwapa matumaini na nafasi ya kufikia ndoto zao.
#JumaHomera
#Namtumbo
#MwengeWaUhuru
#Tundaman
#VipajiVyaVijana
Waziri wa Katiba na Sheria na Mbunge wa Jimbo la Namtumbo, amempongeza @tundamantz kwa burudani nzuri aliyotoa katika mkesha wa Mwenge wa Uhuru, akieleza kuwa burudani hiyo imeongeza hamasa, mshikamano na furaha kwa wananchi waliojitokeza kushiriki tukio hilo muhimu la kitaifa. 🔥
#JumaHomera
#Tundaman
#MwengeWaUhuru
#JimboLaNamtumbo
#Burudani
Moyo wangu sasa hivi una amaaaani
Moyo unafuraha tofaut na zaman
Sura ya x ndio nilifanya niamini tulifanana na nyani
Kurudi kwa huyu mbwa walah haiwezekani
Ipo kwenye all digital platfom
Tik tok ndio balaaa