Joseph O. Mbilinyi

@therealjongwe

Statesman/Former Member of Parliament, for Mbeya Urban/Legendary African Hiphop Artist/Member of Central Committee-CHADEMA Party /Businessman…
Followers
1.0m
Following
778
Account Insight
Score
73.05%
Index
Health Rate
%
Users Ratio
1384:1
Weeks posts
Geita Mjini leo✌🏾🔥 NB: Haya kamwambieni Mama asihofu, kwani hii nayo ni AI tu😎 #LiMwenyekiti #KatibaMpya #FREELISSU
2,395 113
18 hours ago
Katoro, Geita jana ✌🏾🔥 #LiMwenyekiti #KatibaMpya #FREELISSU
1,357 71
1 day ago
Happy birthday to my son Shawn, kila nikikuangalia umri wako unavyosogea hofu ya legacy yangu kupotea inazidi kwisha. DAD LOVES YOU SON❤️ #ProudDad
5,313 84
2 days ago
Like FATHER like DAUGHTER 🔥 ❤️ @joy_girls_secondary_school
10.7k 552
2 days ago
Kijiji cha Ikukwa, Kata ya Ikukwa, Mbeya vijijini jana ✌🏾🔥 NB: Hapa ni kijijini sio town, haki naelewa uoga wa CCM maana sio kwa kukataliwa huku na wananchi, na NB inawahusu😎 #LiMwenyekiti #FREELISSU #TunaendeleaTulipoishiaNyasa
3,939 317
3 days ago
Kata ya Ikukwa, Mbeya vijijini leo ✌🏾🔥 NB: SISTY/MSAJILI unaweza kujaribu kuifuta CHADEMA kwenye makaratasi yako hapo kwenye ofisi yako , lakini hutaweza kuifuta kwenye MIOYO ya WATANZANIA wa leo na NB inakuhusu!😎 #LiMwenyekiti #FREELISSU
4,838 158
4 days ago
Nineteen kweusi na Wanangu Ibra Balaa (Kati) na Bo Bo (RIP) mjini Musoma kitambo hiyoo hata mwaka sikumbuki…🔥 NB: Ukiangalia mkononi, shingoni, vidoleni na sikioni kote hiyo ni hela, MATAKO YAKO! 😎 #TAITA #FREELISSU
12.4k 515
5 days ago
Kesho ni Zamu ya Mbeya Vijijini Kata ya Ikukwa #LiMwenyekiti #FreeTunduLissu #KatibaMpyaNiSasa #TunaendeleaTulipoishia
964 48
5 days ago
Asanteni kijiji cha Mswiswi kata ya Kongolo jimbo la Mbarali leo…✌🏾🔥 #LiMwenyekiti #TunaendeleaTulipoishiaNyasa #FREELISSU
4,748 143
5 days ago
Kesho Jumanne Tarehe 12 LiMwenyekiti liko Mbarali…✌🏾🔥🔥 #TunaendeleaTulipoishiaNyasa #FREELISSU
774 34
6 days ago
Ratiba ya Mwenyekiti ✌🏾 #LiMwenyekiti #FREELISSU
3,192 131
6 days ago
Machawa: Usihofu ile ni AI tu mama😎 #LiMwenyekiti #FREELISSU
4,399 220
7 days ago