Leo Familia Yetu tumejumuika Pamoja Kumpongeza Mke wangu Kipenzi kwa Kuhitimu Shahada yake ya kwanza Ya Benki na Fedha (Banking and Finance).
Tunamshukuru Pia Mlezi wetu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Emmauel John Alfonso Nchimbi kwa kujumuika nasi.
Mungu ni mwema sana ๐
Nimefika Ikulu Ya Zanzibar Mnazi Mmoja na kukaribishwa na Katibu Mkuu kiongozi wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Katibu wa Baraza La Mapinduzi Eng. Zena Ahmed Said. Kazi na Utu Tunasonga Mbele ๐น๐ฟ
Chama cha Mapinduzi(CCM) kimewateua Wagombea 5 kuingia kwenye kinyangโanyiro cha mwisho cha kupitisha Jina moja la Mgombea Ubunge Jimbo la Nanyamba Katika majina hayo matano lipo la Remigius Swaleh Mbowa [ @remmymbowa_ ] ambaye ni Afisa Ubunifu na Mikakati kutoka idara ya Mikakati na Ubunifu Clouds Media
Orodha hiyo imesomwa leo Julai 29,2025 na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla
Kheri ya siku ya kuzaliwa Mke wangu, Namshukuru Mola kwa zawadi ya Maisha Yako, kukua pamoja nawe ni Neema ya Mwenyezi Mungu.
Nathamini kila mchango wako kwangu binafsi na kwa Familia yetu changa.
Maisha marefu, Afya Njema, Uchumi Imara, Fanaka Bwelele nakuombea..
Nakupenda Sana โค๏ธ
Anahuzunika ila atafanya nini? Hii sio njia ambayo alitaka wewe upite! Japo hajaacha kuifuata kila hatua yako kwa nyuma, tangu alipofeli kukuzuia..
Amevua Uamiri Jeshi mkuu,amechagua kubaki kuwa mama, akiamini hivi sasa upo kwenye shule ambayo mkufunzi wake ni Ulimwengu..
Kwangu jina โMamaโ ni cheatcode ya kuinuka tena baada kuanguka..
Mungu nikumbushe kuhusu Mama yangu kwenye kila vita ninayokaribia kufeli..
Mjinga anaepinga umuhimu wa Akina Mama duniani hana tofauti na mjinga anaepinga kifo akiwa amesimama juu ya kaburi๐๐ฝ