Welcome to your ultimate getaway!
SemaTena beach private villa offers luxury and comfort at its finest. @st_beachvilla
5~Bedrooms Each room boasts its own attached bathroom, along with 3 living rooms, dining area, and fully equipped kitchen. Dive into relaxation with your own private pool and stay cool with full air conditioning and backup generator. Kid-friendly amenities include a PS5, 107-inch TV, and table tennis, ensuring endless entertainment. Plus, enjoy outdoor gatherings with our barbecue space, terrace, and ample parking for extra guests. Your home away from home awaits!
#mustvisit2024 #zanzibarisland #zanzibar #luxurytravel #bestvilla #travel #
Honored to welcome Ugandan President Hon Yoweri Museveni to @ST_beachvilla 🙌🏽
We extend our gratitude for his time and support to the ST Villa team 🌟
#Zanzibar #Uganda #SemaTena
tulisoma hadithi kwa kundi la watoto wadogo katika shule ya Amani iliopo Mjini Zanzibar.
Pia kuwatia Moyo kwamba tupo na kuwaangalia hivo ni wajibu wetu Pia Serikali ya @dr.hmwinyi imejipanga kuwajengea School ya G+4 ambayo ndani ya mwaka mmoja tu kukabidhiwa
watoto wa wa Mjii huu tutahakikisha wanapata mwanzo bora na wenye nguvu zaidi maishani.
Ninatoa shukrani za dhati kwa Wizara ya Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kuungana @bunge.tanzania kushuhudia uwasilishaji wa bajeti,Nikiwa Mayor wa Zanzibar Mjini Manispaa nitaendelea kuthamini ushirikiano huu katika kuimarisha maendeleo ya taifa. #MrSematenaa
Leo nimeongoza Baraza kuu Manispaa ya Mjini Zanzibar la bajeti kwa kuwasilisha dira pana ya matumizi yenye tija, uwazi na ubunifu wa hali ya juu. Tumeainisha mipango ya kimkakati inayochochea ukuaji wa uchumi, kuvutia uwekezaji wa kimataifa na kuimarisha miundombinu ya kisasa—ikiwa ni pamoja na huduma bora kwa wananchi wetu.
Kupitia maamuzi haya ya kijasiri na yenye maono, tunaijenga Mjini Zanzibar kuwa mji unaong’ara kimataifa, kitovu cha fursa, ustawi na maendeleo endelevu. Hii siyo tu bajeti, bali ni ramani ya safari ya mafanikio ya kizazi cha sasa na kijacho.
Rais wa Zanzibar @dr.hmwinyi na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi akielekea Pemba kuwasha Mwenge wa Uhuru Taifa — nuru ya maendeleo, umoja na uzalendo.