Home rayballoPosts

Rayballo

@rayballo

PROFESSIONAL MARKETING BUSINESS C E O @baloempire_ | Official Meneja Artists @talatala_lounge BOOKING:+255656842984 | Love Mom β€οΈπŸ™
Followers
17.7k
Following
7,274
Account Insight
Score
36.85%
Index
Health Rate
%
Users Ratio
2:1
Weeks posts
SOUND CHECK DONE βœ… TUKUTANE BAADAE CHINANGALI PARK MOTO UTAENDA KUWAKA πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Cc @talatala_lounge
3,579 33
8 days ago
Depression πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜’πŸ˜’
1,103 131
1 month ago
WANANGU wa Bujumbura Am On Ma Way πŸ”₯πŸ”₯πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½ USIKU WA MUCHACHO WA SABAHA @jamybosslady @sada_make_up @sabahkhamismuchacho Ndani ya bujumbura siku hiyo Patakuwa hapatoshi πŸ“ŒπŸ’―βœŒοΈβœŒοΈβœŒοΈπŸ«΅usiku wa mwana wa Nina
1,244 32
4 months ago
Hiii Ndo Maahana Alisi Ya @talatala_lounge Mwenyee TALATALA Yanguu Ndonimeingiaa Sasaaaa Watoto Wadogoo Cc @talatala_lounge @tala_waves @rayballo
49 5
11 hours ago
Road to Retro night team @tala_waves nzima tupo mbea kuhakikisha history na show kubwa ya @diamondplatnumz wana mbeya ugonile
45 9
2 days ago
@gnakowarawara πŸ”₯the kankara Alipita kwenye barbershop yetu @tripplev_barbershop kupata huduma bora βœ‚οΈπŸ’ˆ Style, class na huduma za kiwango ni sehemu ya utamaduni wetu. @tripplev_barbershop β€” tunazingatia huduma kwa ubora wa kipekee! πŸ‘ŒπŸ”₯
16 0
5 days ago
ASANTE DODOMA πŸ™β™₯️ ASANTE @talatala_lounge πŸ™ ASANTE @diamondplatnumz ASANTE (#RETROTOUR) ASANTE MASHABIKI ZANGU NA WADAU WOTE πŸ™ ASANTE ASANTE ASANTE ASANTE DODOMA MPO MOYONI πŸ«€β™₯️ AKILI KUBWA @rayboy_360 MY G @rayballo MY TEAM @chobydaresalaam @mugabe_360 @rayboy_360
2,103 92
5 days ago
Karibu Sana @staminashorwebwenzi kwa kututembelea @tripplev_barbershop hii kwetu ni kubwaπŸ”₯βœ‚οΈ Ubora wa huduma, muonekano wa kisasa @tripplev_barbershop β€” style yako inaanzia hapa πŸ’ˆπŸ”₯πŸ”₯
18 0
5 days ago
Legend mwenyewe @djjdakathelegend amefika kupata huduma bora @tripplev_barbershop βœ‚οΈπŸ”₯ Kwetu mteja unapata huduma za viwango vya juu kabisa karibu sana Style, class na huduma bora ndiyo tunachokupa kila siku. Karibu @tripplev_barbershop πŸ’ˆβœ¨
19 2
5 days ago
#BURUDANI: Kampuni ya @tala_waves inayojihusisha na shughuli za Masoko na Burudani nchini Tanzania yenye Ofisi zake Makao Makuu Dodoma, ndio kampuni iliyoandaa tamasha kubwa la @Diamondplatnumz la #RetroNight lililofanyika jijini Dodoma. Kampuni hiyo ni kampuni tanzu ya TALATALA LOUNGE, ambayo inafahamika kwa namna inavyotoa Burudani kwa wadau wa Dodoma tangu mwaka 2023 ilipoanzishwa. Siku ya leo Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, @tidmusic ambaye pia ni mjumbe wa idara ya Entertainment wa @tala_waves na @talatala_lounge @tidmusic ametangaza kuendelea kwa msururu wa burudani kupitia tamasha kubwa litakalofanyika Mei 30, 2026 katika Mkoa wa Mbeya. Muendelezo huo wa burudani unakuja baada ya mafanikio makubwa ya show ya Retro Night iliyofanyika jijini Dodoma usiku wa Mei 09, 2026, ambapo mashabiki wengi, na Viongozi mbalimbali walijitokeza kushuhudia burudani mbalimbali kutoka kwa wasanii wakubwa pamoja na wanamuziki waliotumbuiza kwa kiwango cha juu. Kutokana na mafanikio hayo, waandaaji @tala_waves na @talatala_lounge iliwapa Credit kubwa sana na kupelekea kuamua kuhamishia burudani hiyo katika mkoa wa Mbeya kwa lengo la kuwapa mashabiki wa ukanda wa Nyanda za Juu Kusini nafasi ya kupata burudani ya kipekee. #NjaroMEDIA #NjaroTV #NjaroUPDATES WakaliWaUPDATES
32 1
5 days ago
Ukifika DODOMA usiangaike kuhusu malazi Wacheki @cn_apartments_dodoma ✍🏼 Tizama video hii kwa Umakini πŸ“Œ @cn_apartments_dodoma wameongeza apartment hii mpya maeneo ya ILAZO DODOMA na kufanya apartments zao ambazo ziko maeneo ya ILAZO Kufikia 3 ✍🏼 Ukiwa Dodoma Sehemu yenye utulivu ni @cn_apartments_dodoma Wacheki wakuhudumie Phone: 0712 227 850 CN APARTMENTS NDO HABARI YA MJINI DODOMA πŸ“Œ
0 22
5 days ago
Stress zitaniua ahahahahaha cc @bekaibrozama @rayballo @marlaw__
270 16
6 days ago