Baila Bailando

@official_baila

Zanzibarsweetheart ❤️ Redio & Tv Personality Award winning stylist of the year STYLIST 🇹🇿 CEO :BBP and SPS BRAND 👙👗💅 Fam @good_people_gang
Followers
149k
Following
229
Account Insight
Score
45.26%
Index
Health Rate
%
Users Ratio
652:1
Weeks posts
Ma sha Allah la quwwata illa billah, (Al-Kahf: 39) YOUR MY REASON ❤️🫰🏼 #jb2026 @mama_mobetto @hamisamobetto Nawapenda ❤️ 📸 @elly_yd
0 86
1 month ago
Achana na vyote zingatia kofia ya Simba hapo 😂🫡💃🏻 @diamondplatnumz Director @fole_x #watuwafolee Hat 🎩 from @baila_beautypoint Styled by @official_baila Nakuona @ama_beauty_tz kwa mbaliiii😂😂🫡🫡🫡
0 144
1 year ago
Nyieee mm naona rahaaaa😂😂😂🥰🫡 Moyo wangu Uko kwa hawa watu ❤️ Happy birthday ROUHY mume halali wa @officialzuchu wangu ❤️❤️❤️ Happy birthday Boss wangu mwalimu wangu. Happy birthday superstar Africa No 1 Male artists 🔥🔥💫 Happy birthday Simba La masimba 🦁 Happy birthday shemela wangu. 😍🔥 MUNGU wa mbinguni asikupungukie hata kidogo unatuinua sana sisi ambao tuko nyuma yako. Asante kwa kumpenda da Zuu wetu ❤️😂🫡 guys ZUHURA ANAPENDWA BUANAAA❤️❤️❤️❤️❤️🥰✌🏻 Enjoy your day Tajiriiiii MUNGU atunze sana. We love you 😘 @diamondplatnumz @diamondplatnumz @diamondplatnumz
144k 1,130
7 months ago
Happy birthday MAMA .. Leo moyo wangu unatamani kitu kimoja tu MAMA Na ni Mara ya kwanza kwenye maisha yangu kujua siku yako ya kuzaliwa 😭😭😭😭😔😭🙏🏼I wish ungekuwepo hapa tusherehekee pamoja. Ningekukumbatia kwa nguvu na kukuandalia keki nzuri ya kuzaliwa, nikuone ukitabasamu. Lakini kwa kuwa upo mbali na macho yangu, nakuweka karibu na dua hizi mbili za mwenyezi MUNGU. Basi Mwenyezi Mungu ndiye Mbora wa kulinda, naye ndiye Mwenye kurehemu kuliko wote wenye kurehemu.😭🙏🏼 (Qur’an 12:64 — Surat Yusuf) Mola wetu, tupe duniani mema, na Akhera mema, na utuepushe na adhabu ya Moto🤲🏼🙏🏼 (Qur’an 2:201 Surat Al-Baqarah) Happy Birthday MAMA, hamu ya kukuona haitaisha mpaka tutakapokutana tena.😭😭😭😭😭😭😭🤲🏼🙏🏼 Pumzika kwa amani kiumbe wangu wa thamani. Siku yako ya kuzaliwa iwe na nuru ya kudumu❤️🎂 Inallah wainallah rajoun 😭💔💔💔
0 19
3 days ago
Ankali sitoi Kiki na level zangu hufiki Tuliaaaa✋🏼 Wewee🫵🏻 sikilizaaaa👉🏻👂🏼🤣🤣 Mtu mwenyewe AI hebu toka hapaa😏🖕🏼 Ila @officialzuchu Dress unaipata @thalia_designs_ Material @rumi_fabrics_tz Mua @ama_beauty_tz Hair @dankings_hair 📸 yake @fundipichaa 🫰🏼
0 67
4 days ago
Naitwaaaa Baila Bailando kibokoooo yaaaaa… Kibiritiiiiiii hakifanyajee weweee😂🤣🫰🏼 #aye by @officialzuchu 🔥🤙🏽
0 45
4 days ago
Nimebeba dunia mabegani mwangu na bado natabasamu. Leo ni siku yangu !❤️ Happy mother’s day Dada B ❤️
0 20
6 days ago
Old Xcul party 🎊 @lamataleah @lamata_villageentertainment Stylist @official_baila 🧨🧨🧨
8,924 89
6 days ago
Weweeeeee tuliiiiiiiiiia sikilizaaaaaa 😂🫰🏼🔥🔥🔥🙌🏻 #aye by @officialzuchu audio out 🫡🔥🔥🔥 Ila pale mwishoni mie ndo napendraaaaa 🤣🤣🤣 Mtu mwenyewe kumbe AI hebu toka hapaaaa😂
0 24
8 days ago
Anaitwaaaaaaaaaaaa!!!!????😆😆😆🤣🔥🔥🔥🔥🔥🤌🏼 kibokooo yaaaa😆😆 Kwa kifupi humu ndani kuna balaaa can’t wait..midnight @officialzuchu 🫡
0 57
9 days ago
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😆🙌🏻 Veeeeery Gooooood Anaitwa Zuhura @officialzuchu Kibokoooo ya VIGAGULA 😆🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🔥
0 57
9 days ago
Happy Birthday to a soul that radiates nothing but kindness. Rouhy wa Mr Abdul 🤍upole wako na roho yako nzuri ni zawadi tosha kwangu🫰🏼Thank you for being such a consistent and supportive friend through every season of my life. Umeishi na mimi vizuri sana, na nathamini kila dakika ya urafiki wetu. May this new year bring you as much peace and joy as you give to the world. Love you always! 🎂❤️ nilijua kukupelekesha kwenye pirika za harusi yangu 🤣 My @only_jojomoney 🎂🤍
0 25
10 days ago