Bether Kitalima

@meet_bether

Followers
10.6k
Following
2,806
Account Insight
Score
34.82%
Index
Health Rate
%
Users Ratio
4:1
Weeks posts
✨ Tunaye heshima kubwa kumtambulisha mgeni wetu wa heshima, Ally Bananga @binamubananga ✨ Akiwa kiongozi mwenye maono na uzoefu mkubwa katika masuala ya siasa na mawasiliano, pia ni CEO wa HB Trends & HB Dry Cleaners, uwepo wake unaongeza hadhi na uzito mkubwa kwenye Tunaweza Awards 🏆🔥 Karibu sana kuungana nasi kusherehekea mafanikio, vipaji na juhudi za vijana wanaofanya mambo makubwa! 💫 #TunawezaAwards #GuestOfHonour #AllyBananga #Inspiration #Leadership DarEsSalaam
106 8
1 month ago
TUNAWEZA AWARDS 2026 Celebrating Excellence & Impact Ninayo furaha kubwa kuwajulisha rasmi kuwa Second Guest of Honour kwenye usiku huu maalum wa heshima na mafanikio. Kwa ajili ya kutambua jitihada za kila Mwanamke shupavu, mwenye kulenga mafanikio makubwa, na msukumo wa kweli kwa kizazi cha sasa na kijacho. 17th April . Save the date Location : Deluxe Hall Usiku huu si wa kukosa! Ni fursa ya kipekee ya kukutana na watu mbalimbali kukuza connection, kujifunza, kubadilishana mawazo, na kupata inspiration itakayokusaidia kusonga mbele . 🎉 Honouring Visionaries. Inspiring Generations. 🎟️ Tiketi bado zinapatikana 📞 Piga simu: 0793 158 080 💬 WhatsApp: 0687 623 196 🔗 Follow: @tunaweza2026 #TunawezaAwards #CelebratingExcellence #AwardNight #Inspiration #FashionAndMusic Mafanikio NetworkingNight @meet_bether see you there 🫶🏿
142 10
1 month ago
Nikiwa kama muandaaji wa Tuzo za Tunaweza, napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa kila mmoja wenu mliojitokeza na kupokea mashindano haya kwa moyo mkubwa ❤️✨ Hii ikiwa ni awamu yetu ya kwanza, tunathamini sana ushirikiano na sapoti yenu. Tunaahidi kuleta mambo mazuri zaidi yanayokuja mbele yetu 💫 Tuendelee kushirikiana kwa kununua ticket mapema ili kufanikisha tukio hili kwa kiwango cha juu zaidi 🎟️🔥 Asanteni sana kwa sapoti yenu 🙏 CEO – Tunaweza Awards @meet_bether
34 3
1 month ago
@meet_bether anakwambia kuna Watu hawapendi kujifunza kwenye Maisha. Sikiliza CROWN FM kupitia 92.1 Mhz, Radio Box & Radio Garden tafuta CROWN FM. Tutazame Live kupitia YOUTUBE channel yetu CROWN MEDIA na CROWN TV kwenye Kisimbuzi cha Azam (DISH) ni chaneli namba 415. #CrownMedia #HapaNiNyumbani #TupoMwakaWaMbele
287 1
11 days ago
“Naogopa sana kuwa mzigo kwa Mtu” @meet_bether Sikiliza CROWN FM kupitia 92.1 Mhz, Radio Box & Radio Garden tafuta CROWN FM. Tutazame Live kupitia YOUTUBE channel yetu CROWN MEDIA na CROWN TV kwenye Kisimbuzi cha Azam (DISH) ni chaneli namba 415. #CrownMedia #HapaNiNyumbani #TupoMwakaWaMbele
170 12
11 days ago
@meet_bether akiwa na #JIRANI anaeleza namna Vijana walivyokosa Uaminifu; Sikiliza CROWN FM kupitia 92.1 Mhz, Radio Box & Radio Garden tafuta CROWN FM. Tutazame Live kupitia YOUTUBE channel yetu CROWN MEDIA na CROWN TV kwenye Kisimbuzi cha Azam (DISH) ni chaneli namba 415. #CrownMedia #HapaNiNyumbani #TupoMwakaWaMbele
206 14
11 days ago
RASMII @blue_world_travel_ WAMEKUWA SPONSOR WETU @tunaweza2026 KARIBU TUWAHUDUMIE KWA MAHITAJI TA TICKET ZA INCHI NDAN NA NJE YA INCHI MBALI MBALI ,VISA ASSISTANCE HATA SEHEMU
30 5
11 days ago
Nikiwa Kama CEO wa @tunaweza2026 kwanza kabisa napenda kutoa Shukran zangu za dhati kwa wote walioudhuria event yetu ya usiku wa tuzo iliyofanyika 17April deluxe hall… Pia napenda Kuwashukuru wageni wetu rasm mh @binamubananga na @miriamodemba pamoja na viongozi wote walioudhuria event yetu SHUKRAN ZANGU ZA PEKEE ziende kwa boss mo @abdulkhajy Asante kwa kuona tunachokifanya na kuamua kutushika mkono Tunatambua na tunathamin mchango wako kwa vijana tunakuahid tutakuwa mabalozi wazuri wa @makunduchivilla na kuwakilisha vizur kwa watarii na wageni wa nje na ndani Mimi pamoja na kioo cha Jamii Madame @miriamodemba Pia na masponsor wetu wote walio tushika mkono kulifanikisha event yetu msimu wa kwanza Ongereni washiriki wote mlioshiriki kwenye tuzo tunatarajia msimu ujao mtakuwa masponsor wetu wa kubwa 🙏🏾 Pia niwaombe radhi kwa changamoto yoyote iliyotokea na niwahid msimu ujao Utakuwa bora zaid 🙏🏾 TUNAWEZA AWARDS 2026 ni mafanikio ya kila mwenye matumain ya kufanikisha malengo yake📌
37 8
28 days ago
GRATEFUL BEYOND WORDS 🙏🏿🫶🏿 Being invited as one of the official guests at the TUNAWEZA AWARDS was a great honour—but receiving an honorary award as a ‘SOCIAL MIRROR’ is something I accept with deep humility and a strong sense of responsibility. This is not just an award… it is a reminder that what we do has impact, it is seen, and it can touch the lives of others. Thank you so much to the organisers for this honour, and congratulations to every winner and nominee—each one of you is proof that we truly can. The journey continues… with purpose, passion, and responsibility. 🗣️ Hon. @binamubananga 
🎥 ©️ @msangi.images Photographed by : @collemaphoto_tz Miss @meet_bether #MiriamOdemba #ReflectionOfSociety #VoiceOfFashion #TunawezaAwards #Gratitude Impact Inspiration LegacyInTheMaking
272 9
29 days ago
GRATEFUL BEYOND WORDS 🙏🏿 Kualikwa kama mmoja wa wageni rasmi kwenye TUNAWEZA AWARDS ilikuwa heshima kubwa—lakini kupokea tuzo ya heshima kama kioo cha jamii ni jambo ninalolichukua kwa unyenyekevu na uwajibikaji mkubwa. Hii si tu tuzo… ni ukumbusho kwamba kile tunachofanya kina impact, kinaonekana, na kinaweza kugusa maisha ya wengine. Asanteni sana waandaaji kwa heshima hii, na hongera kwa kila mshindi na aliyeteuliwa—kila mmoja wenu ni ushuhuda kwamba tunaweza kweli 💫 Rai yangu kwa vijana, hasa nyie Gen Z msisite msiogope kuanza, usikate tamaa, msihofu kuwa tofauti, wala msiruhusu tamaa izime ndoto yenu. Wekeni uthubutu, na tembeeni kwa ujasiri katika kila mnachokifanya. Tambueni kwamba mara nyingi kile kinachokutofautisha ndicho kinachokupa mwanga wa kung’aa mbele ya ulimwengu. Upekee wenu si udhaifu ni nguvu yenu ya asili. Kwa washindi wa leo hongereni sana kwa mafanikio haya. Endeleeni kung’ara, lakini kumbukeni: ukuu wa kweli haupimwi kwa kufika kileleni peke yako, bali kwa wangapi umeinua njiani. Kwa waandaaji pongezi za dhati kwa kujenga jukwaa lenye maana na athari chanya. Hili si tukio tu; ni mbegu ya urithi unaoendelea kuzaa matunda. Asanteni sana kwa kunialika ni heshima ya pekee kuwa pamoja nanyi leo. The journey continues… with purpose, passion, and responsibility. 🗣️ Hon. @binamubananga 🎥 ©️ @msangi.images Thanks Miss : @meet_bether My Beautiful Dress 👗 Design by : @otson_legendary_design Model : Miriam Odemba C.E.O @sautiyamitindo @odembamodelmanagement #MiriamOdemba #KiooChaJamii #SautiYaMitindo #TunawezaAwards #Gratitude Impact Inspiration LegacyInTheMaking
155 27
29 days ago
@tunaweza2026 🏆✨ Grateful beyond words 🙏 Thank you CEO @meet_bether for the support and guidance 🤝 And a big thank you to everyone who believed in me — this win is for all of us ❤️ More wins, more greatness ahead 🚀🔥”
96 9
29 days ago
HONGERA SAANA @ishamashauzioriginal KWA KUIBUKA KIDEDEA KWENYE TUZO ZA @tunaweza2026 KAMA. THE BEST MAMA LISHE OF THE YEAR 2026/2027🔥🔥❤️ @meet_bether
1,305 29
1 month ago