Nimejifunza sana kumuangalia Mungu kuliko vitu vyote humu duniani, maana vyote vinapita, na kubadilika, lakini Mungu habadiliki na wala Yeye hapiti. Ndo maana akasema Yeye ni yule jana na Leo na ata milele. Sijui unaelewa hii, nakuachia hapo.
#mtumainie#Mungu
Decor: @kalundeeventsrentals
Venue: @dankenhall.tz
Photography: @brightthebetiweddings
MC: @mcjuliaatz