MKOPO SIO MSAADA. MKOPO NI DENI. na Dawa ya Deni ni KULIPA.
Watu wengi (hususani waafrika) wakija kukopa nyuma ya pazi wanakuja na Nia ya Kutolipa. Jitahidi sana uwe mlipaji mzuri wa madeni ili utengeneze Credit Score nzuri, uweze kukopesheka na kunufaika zaidi na mikopo katika kukuza Biashara zako.
#PersonalFinance
#Fedha
#ElimuyaFedha
#Biashara
Moja ya Mambo yataka kufanya ufanikiwe kwenye biashara na maisha kwa ujumla ni jinsi ya kuwa bora katika kutawala hisia zako. Kuwa Emotionally Intelligent.
#EQ
Finally leo tupo na @mcluvanda@uwekezajikatikahisa na @jd_nyambabe wakitupitisha kwenye Maswala ya Uwekezaji (Haswa kwenye HISA), Branding, Career advancement na mengineyo.
.
Nenda Youtube Video ina Premier sasa hivi. Andika @dreamaidstudios au Click link kwenye Bio.
.
Usisahau Pia kuwa zimebaki siku Nane tu Kuelekea #AbetterMe ya mwaka huu. Piga/Whatsapp 0763817194 kuBook ticket yako sasa tukutane 01/05/2026.
Tunayo furaha kuwa na MC Luvanda—ambaye si tu ni corporate MC mwenye uzoefu wa miaka 15+, bali pia ni former banker anayeelewa vyema lugha ya namba na biashara. Yeye ndiye atakayekuwa mwongoza njia wetu kwenye Tanzania Tax Talk Event.
Luvanda atahakikisha unatoka kwenye session hii ukiwa na majibu ya uhakika na dira inayoeleweka kwa biashara yako.
Kama huna mfumo sahihi wa kodi na uwekezaji, it will cost you badly. Usikubali biashara yako icheze bila dira.
📍 Join us (Virtual Workshop)
📅 April 25th, 2026
💻 Online: Zoom Meeting
💰 Investment: 75,000 TZS (Individual)
Jiunge nasi kwenye dira yetu mpya kwa wafanyabiashara Tanzania.
Gusa link kwenye bio yetu sasa kuhakikisha nafasi yako!
It’s pleasure to have you @mcluvanda and among vingi ulivyosema nimechukua “maisha yana mengi sana katika yote baki na unachotaka kitimie”
Hekima ya maskini haisikilizwi….💃
Welcome again @flyover_bongofm .☺️
🎥 @hamza_mbowa1