KILIMO BIASHARA PROGRAM

@kilimobiasharaprogram

A platform ( tv program) that disseminates constructive agricultural information&opportunities to assist youth in Tz +255713588410#kilimobiashara
Followers
60.1k
Following
305
Account Insight
Score
41.67%
Index
Health Rate
%
Users Ratio
197:1
Weeks posts
Kilimo cha alizeti ni fursa kwa kuzingatia ongezeko la soko la ndani la mafuta ya kupikia, unaweza kulima alizeti au kusindika, chaguo ni lako, mashamba yapo, ardhi ipo, soko lipo...chukua hatua.
1 0
3 days ago
Sea cucumber farming is a great opportunity for people living along the coastal areas. Here, we took photos and produced a documentary video about sea cucumber farming in Pemba. call us now for detailed pictures and outstanding documentaries
7 1
28 days ago
Banio linatumika kuruhusu na kuzuia maji kutokana na matumizi husika, miundombinu ya umwagiliaji inampa uhakika mkulima wa mpunga kupata maji shambani #kilimobiashara #kilimo
5 0
2 months ago
wakulima wanaendelea kuwa na furaha wakitarajia mavuno mazuri, tuendelee kuunga mkono juhudi za wakulima nchini.👏kilimo#wakulimatanzania #mavuno
24 0
2 months ago
Tunapoelekea siku ya Chakula duniani, tunawapongeza wakulima na wadau katika mnyororo wa thamani kwa juhudi nyingi na ufanisi kwa uzalishaji wa chakula nchini#kilimo
19 1
7 months ago
Jitahidi kila siku kununua bidhaa za kilimo ili kuinua uchumi wa wakulima na wadau wote katika mnyororo wa thamani#kilimobiashara
48 1
7 months ago
Karibu tukutengenezee picha nzuri za bidhaa , bei zetu ni nafuu na ubora wa kazi ni mkubwa sana. Mteja huyu ametengenezewa picha za ukubwa tofauti kuanzia lita 1.4 hadi 5, karibuni..
9 0
8 months ago
Katika kuchochea maendeleo endelevu ya kilimo nchini, tunahitaji kuwawezesha wanawake wengi ili kujihusisha na shughuli za kilimo
41 1
8 months ago
Ukihitaji picha nzuri za kilimo na ufugaji, naomba wasiliana nasi tufanye kazi. Picha hii imepigwa katika kijiji cha Mbingu, Morogoro👏
120 2
10 months ago
Please call us for good project pictures like these, 0713588410
35 1
1 year ago
Matumizi jadidifu ya Nishati ya sola ni muhimu katika nyakati hizi na kupunguza uchafuzi wa mazingira. Tumeweza kutengeneza makala(documentary) nzuri kuonesha mafanikio ya mradi huu katika mikoa mitano. Karibu sana tukutengenezee makala nzuri za binafsi, mradi au taasisi, tupigie 0713588410
48 1
1 year ago
Enabling Youth Empowerment in Solar Energy through the Distributed Renewable Energy Ecosystem Model (DREEM) Project , funded by the C.S. Mott Foundation, which aims to increase the distribution and use of solar energy, especially for productive use in rural Tanzania. We hv documented this project ie. pictures and videos, call us now
71 2
1 year ago