🏆 K4S Security tunajivunia kushinda tuzo ya Best Event Security & Bouncers 2026 kutoka Tanzania Event Planners Awards 2026.
Asanteni kwa kutuamini — ushindi huu ni wetu sote. Tunaendelea kutoa huduma bora kwa weledi na uaminifu. 💙✨
Leo tunawaenzi wanawake wenye nguvu, upendo na ulinzi wa kweli katika familia na jamii. 🌸
K4S Security tunawatakia akina mama wote siku njema ya Mother’s Day. Asanteni kwa kuwa walinzi wa kwanza wa maisha yetu. 💙
#MothersDay #K4SSecurity #OurFirstProtector
FURSA YA AJIRA ZANZIBAR
K4S Security inatangaza nafasi 10 za kazi kwa ajili ya SECURITY SUPERVISOR (Msimamizi wa Ulinzi) katika ofisi yetu ya Zanzibar.
📋 Vigezo Vinavyohitajika:
🔹 Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea.
🔹 Mafunzo ya JKT / JKU / Mgambo / KVZ.
🔹 Uwezo mzuri wa kuongea Kiingereza.
🔹 Uzoefu wa miaka 3 katika usimamizi wa Askari.
🔹 Kuwa na Leseni ya Udereva.
🗓️ Mwisho wa kutuma maombi: 12/05/2026
📍 Jinsi ya Kutuma Maombi:
Tuma maombi yako kwa njia ya barua ofisini kwetu JANG’OMBE, au tumia anwani ifuatayo:
Meneja Mkuu,
K4S Security Company,
S.L.P 75575 Jango’ombe Mwembemadafu,
Zanzibar.
📞 Kwa mawasiliano na msaada zaidi:
Zanzibar: 0652 406 223
🌐 www.k4ssecurity.co.tz
Today we honor our CEO, Mohamed Soloka (@mohd_soloka ), as we celebrate his birthday and his commitment to inspiring impact.
The entire team at K4S Security wishes you a fantastic day and a prosperous year ahead.
#K4SSecurity #Leadership #CEO #HappyBirthday #VisionaryLeader DarEsSalaam
Usalama wa uhakika na umaridadi wa kiwango cha juu
Timu nzima ya K4S Security tukiwa kazini kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa. Kuanzia ulinzi madhubuti, huduma za mapokezi zenye tabasamu (Ushers), hadi mpangilio mzuri wa itifaki (Protocol), tunahakikisha tukio lako linakuwa la kihistoria na lenye hadhi. 📍The Super Dome TZ.
Tunajivunia kuwa sehemu ya kufanikisha matukio makubwa. Je, unapanga tukio hivi karibuni? Tuachie jukumu la usalama na mpangilio wageni.
#K4SSecurity #UsalamaWakoKipaumbeleChetu
#TheSuperDomeTZ #UshersTZ #vunjabeibet
Heri ya Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) kutoka K4S Security
Tunatambua na kuthamini mchango mkubwa wa wafanyakazi wote,
hasa kikosi chetu shupavu kinachohakikisha usalama wako usiku na mchana.
Usalama wako ni kipaumbele chetu namba moja, leo na kila siku.
Katika uzinduzi wa Vunjabei Bet, tulihakikisha usalama, protocol na mapokezi yanaenda kwa weledi na mpangilio bora.
K4S Security -tukio salama, huduma ya uhakika.
Katika uzinduzi wa Vunjabei Bet, tulihakikisha usalama, protocol na huduma za ushers zinaenda kwa weledi, mpangilio na ukarimu wa hali ya juu.
Tunajivunia kuwa sehemu ya tukio hili muhimu, tukihakikisha wageni na washiriki wote wanapata huduma bora kuanzia mwanzo hadi mwisho.
K4S Security - usalama, protocol na huduma bora kwa kila tukio.
Urembo ukikutana na ulinzi madhubuti.
Muonekano wa kipekee na wa kishindo wa Prisca Lymo akiwasili Miss Grand Tanzania.
Akisindikizwa na kikosi cha K4S Security, hadhi na usalama viko katika ubora wake.
#MissGrandTanzania2026”