Irene Killenga (Babymama)

@irenekillenga

TELEVISION & RADIO PERSONALITY Content Provider,News Anchor. EFM&TV-E Tanzania. Host "JOTO LA ASUBUHI". Ambassador @halisiarealestateltd
Followers
158k
Following
3,405
Account Insight
Score
65.48%
Index
Health Rate
%
Users Ratio
46:1
Weeks posts
Mawakili wa Balozi Mstaafu, Humphrey Polepole wamezitaka mamlaka za usalama wa raia na mali zao kutumia mbinu na rasilimali zote za umma kuhakikisha, na kisha kutoa taarifa kwa umma wa Watanzania, na Dunia kwa ujumla, juu ya hali ya usalama, na maslahi ya kisheria ya Polepole. Kupitia barua ya leo Oktoba 06, 2025 iliyoandikwa na Wakili wa Polepole, Adv. Peter Kibatala kwenda kwa Mamlaka husika, Mawakili hao wamezitaka Mamlaka husika kuhakikisha Polepole anapatikana akiwa hai na kubainisha kuwa watatoa taarifa zaidi kuhusu hatua watakazozichukua kwa kushirikiana na watu, na Taasisi mbalimbali Duniani kote. Haya yanajiri ikiwa ni masaa kadhaa baada ya kusambaa kwa taarifa kutoka kwa baadhi ya ndugu wa Polepole wakidai kuwa Balozi huyo Mstaafu ambaye pia amehudumia Nchi yake katika nyadhifa mbalimbali za utumishi wa umma ametekwa huku Jeshi la Polisi likisema limeanza kufanyia kazi taarifa hizo ili kubaini ukweli wake.
894 44
7 months ago
Mapenzi ni kuvumiliana😍❤️ #twendepamoja
10 0
3 hours ago
Marais Wawili Wameamua Kuweka Nia Ya Pamoja - Balozi Mindi, Mkurugenzi, Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Tumeshakuwekea Mahojiano Haya Kwenye YouTube Channel Yetu ( EFM TANZANIA ) Cc @irenekillenga #JotoKaliLaAsubuhi
46 4
6 hours ago
Tanzania Jiografia Imetubeba - Balozi Mindi, Mkurugenzi, Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Tumeshakuwekea Mahojiano Haya Kwenye YouTube Channel Yetu ( EFM TANZANIA ) Cc @irenekillenga #JotoKaliLaAsubuhi
413 7
6 hours ago
Kila Sekta Ina Jukumu La Kuagalia Maendeleo Ya Vijana Katika Sekta Hiyo - Balozi Mindi, Mkurugenzi, Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Tumeshakuwekea Mahojiano Haya Kwenye YouTube Channel Yetu ( EFM TANZANIA ) Cc @irenekillenga #JotoKaliLaAsubuhi
1,097 5
7 hours ago
Mengi Mazuri Na Makubwa Yanazungumzwa Muda Huu Na Balozi Mindi, Mkurugenzi, Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Tupo LIVE Kupitia @tvetanzania Pamoja Na Kwenye YouTube Channel Yetu ( EFM TANZANIA ) Cc @irenekillenga #JotoKaliLaAsubuhi
159 3
7 hours ago
Duniani Kote Kuna Ushindani Wa Kiuchumi - Balozi Mindi, Mkurugenzi, Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Tupo LIVE Kupitia @tvetanzania Pamoja Na Kwenye YouTube Channel Yetu ( EFM TANZANIA ) Cc @irenekillenga #JotoKaliLaAsubuhi
598 6
7 hours ago
Maswala Tuliyoyapa Kipaumbele Wakati Huu Ni Mtazamano Wa Kikanda Ili Kuleta Mafanikio Ya Kiuchumi - Balozi Mindi Kasiga - Mkurugenzi, Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Tupo LIVE Kupitia @tvetanzania Pamoja Na Kwenye YouTube Channel Yetu ( EFM TANZANIA ) Cc @irenekillenga #JotoKaliLaAsubuhi
134 4
7 hours ago
Kuanzia Saa Moja Kamili Asubuhi Tutakuwa Na Mazungumzo Na Balozi Mindi Kasiga - Mkurugenzi, Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Tutakuwa LIVE Kupitia @tvetanzania Pamoja Na Kwenye YouTube Channel Yetu ( EFM TANZANIA ) Cc @irenekillenga #JotoKaliLaAsubuhi
13 2
8 hours ago
13 2
1 day ago
Usiogope kuwa Wewe Dunia Inawatu Tuliwaamini Kumbe ni Watu Wa HOVYO kabisa🚮📌 Mdogo wangu @jumalokole_02 Nitakufundisha Kunywa Kabeer kidogo utaanza kuchanganya na Soda 😂 Huwezi kutoa Stress na Juice ya EMBE 😜😂😂 #machonikamawatumoyonihawanautu
273 29
1 day ago
7 1
1 day ago