Farmbase Limited

@farmbase_ltd

One of the leading private company dealing with importation, formulation and selling of farm inputs. Agro chemicals, veterinary drugs and seeds.
Followers
4,402
Following
86
Account Insight
Score
31.36%
Index
Health Rate
%
Users Ratio
51:1
Weeks posts
๐Ÿงด๐Ÿ’ง VITOL ๐Ÿ“Cetrimide3%, ๐Ÿ“Chlorhexidine Gluconate 0.3%, ๐Ÿ“Ethyl alcohol as preservative 8.5% Disinfectant & Antiseptic VITOL ni ulinzi bora dhidi ya maambukizi. Huzuia maambukizi kwa kuua 99.9% ya vijidudu hatari โ€“ bakteria, virusi, fangasi na spores. Inafaa kwa ๐Ÿ”ฎ โœ… Matibabu ya nje dhidi ya michubuko na vidonda vidogo. โœ… Kutakasa mikono baada ya kushika uchafu โœ… Inaweza kutumika kwenye mabanda ya mifugo, hospitali za binadamu na wanyama kusafishia sakafu na masinki. Tumia ๐Ÿงด VITOL ๐Ÿ”น Kwa matokeo bora na ya haraka, ๐Ÿ”น Ni Salama, ๐Ÿ”น Inayoaminika na wataalamu wa afya ya binadamu na mifugo, ๐Ÿ”นHarufu nzuri ya kuvutia. Jinsi ya kutumia Vitol ๐Ÿงด ๐Ÿฉน๐Ÿฅ Kwa vidonda na michubuko midogo na kutakasa mikono - 50ml kwa 1L ya maji kisha osha jeraha lako taratibu. ๐Ÿจ๐Ÿ  Kwa kutakasa sakafu za mabanda ya mifugo, hospitali, na majumbani tumia 100ml kwa 1.5L za maji safi kisha nyunyiza, acha kwa dakika 3 mpka 5 kisha futa/safisha. ๐Ÿ“ Inapatikana katika maduka ya mifugo na pharmacy iliyo karibu nawe. ๐Ÿ“ž Wasiliana
17 0
10 months ago
*BodaLine* Sumu bora ya mende ya kuchora, yenye nguvu mara mbili ๐Ÿ’ช kutoka kampuni ya *Farmbase sasa inapatikana ๐Ÿ“Œ *BodaLine* ni angamizo la mende la uhakika โœ… Usiseme dawa ya mende ya kuchora, sema *BodaLine* #farmbase #bodaline Farmbase Limited, The Quality You Trust.๐Ÿ’ฅ
483 15
1 year ago
We are presenting to you, a new design of our product โœจ.
14 0
12 days ago
AZOKICK 325 SC, SUPACLOP 200SL na DARSFARM Swali Hello doctor nina changamoto ya mstafeli wangu matunda yanakuwa na weusi alafu yanakauka na kuoza. Jibu Mastafeli yake yamepatwa na magonjwa ya kuvu(fangasi) ambayo ni chule na ukungu mweusi . Lakini hii yote inatokana na uharibifu wa wadudu aina ya inzi wa matunda, na siafu kipindi cha uzalishaji wa maua na matunda. Nashauri aweze kutumia 1.Azockik 325 SC kwa ajili ya kuondoa changamoto za kuoza na kuharibika shambani, pamoja na ukungu kusafisha ukungu mweusi. 2. Matumizi ya Viuadudu kama SUPACLOP 200sL , au Darsfarm Kwa kipindi Cha uzalishaji wa matunda Ili kuondoa athari mbalimbali za wadudu wanaoshambulia maua na matunda. 3. Matumizi ya mitego ya inzi wa matunda 4. Usafi wa shamba(kuondoa matunda yote yaliyopatwa na changamoto hiyo na kuyaondoa shambani Ili kutoruhusu maotea ya fangasi na kusambaa shambani. 5. Kupruniii matawiii yenye kiza na yenye magonjwa Ili kuleta mwanga na hewa kupita vizuri kwenye miti na matunda. Farmbase Limited, The Quality You Can Trust ๐Ÿ“Œ
7 1
12 days ago
Semina ya Wafugaji na wakulima iliyofanyika tarehe 01-05-2026 katika Ukumbi wa DYCCC Temeke Dar es Salaam.
27 1
14 days ago
๐ŸŒฑ ASANTENI KWA KUHUDHURIA SEMINA YETU ๐Ÿ“๐Ÿ„ Wakurugenzi na Uongozi wa Farmers Center Limited na Farmbase Limited tunapenda kutoa shukrani za dhati kwa wakulima na wafugaji wote mliohudhuria semina yetu. Ushiriki wenu umeifanya semina kuwa yenye mafanikio makubwa. Tumefurahi kuona mlijifunza, mkashirikiana, na kufurahia maarifa kuhusu afya na tiba za mifugo pamoja na ulinzi wa mimea. ๐Ÿค Tunaamini elimu mliyopata itawasaidia kuboresha uzalishaji na kuongeza kipato chenu na Taifa kwa ujumla. ๐ŸŒŸ Tunawatakia kila la kheri katika shughuli zenu za kilimo na ufugaji, mavuno mengi na mifugo yenye afya bora! Karibuni tena kwenye Semina zetu zijazo. Farmbase Limited โ€“ The Quality You Can Trust ๐Ÿ“Œ
28 2
16 days ago
Katika Semina ya Wakulima na Wafugaji iliyofanyika Mei 1, 2026 katika ukumbi wa DYCCC, jijini Dar es Salaam, mgeni rasmi alikuwa Dr. Benedict Lutege โ€“ Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo. Akihutubia washiriki, alisisitiza kauli mbiu ya mwaka huu: โ€œKilimo na Ufugaji ni Biashara Inayoweza Kuongeza Kipato Chako.โ€ Tukio hili liliandaliwa kwa ushirikiano wa Farmers Center Limited na Farmbase Limited, likiwa jukwaa la elimu, mshikamano na fursa kwa wakulima na wafugaji wa Tanzania. #HabariPicha #FarmbaseLimited #FarmersCenterLimited #Semina2026 #KilimoNaUfugaji TanzaniaAgriculture
19 2
16 days ago
Wafanyakazi wa kitengo cha mauzo katika Semina ya Wafugaji na wakulima wakiendelea na majukumu yao.si ya mei 1 2026.
26 1
17 days ago
Mr. Mohamed Abdulqadir Msaidizi wa Mkurugenzi wa Farmbase limited, Akifanyiwa mahojiano na moja kati vyombo vya Habari kwenye Semina ya Wafugaji na wakulima Mei mosi 2026
63 0
17 days ago
Dr. Salum Othman Akitoa mada kwenye Semina ya Wafugaji na wakulima katika ukumbi wa DYCCC Sikukuu ya Mei 1 2026
23 0
17 days ago
Mgeni Rasmi Akitoa Hotuba yake.
23 0
17 days ago
25 1
17 days ago