Nawashukuru wadau wangu kwa uvumilivu mkubwa wakati wa ukimya wangu , kama nilivyowaahidi kuwa nilizaliwa kwa ajili ya kutambua na kukuza vipaji vya watanzania wenye vipaji hivyo sitochoka kufanya the God’s work.
Mziki unahitaji uwekezaji mkubwa ili kuweza kuleta matokeo tarajiwa, kwa kushirikiana na TONTOO MUSIC GROUP ninawaletea a new and promising talent
@maizer__tz msanii mwenye kipaji cha kuimba na kucheza kwa ufupi
@maizer__tz ni entertainer, mpeni sikio na nafasi awaonyeshe alichonanacho kijana mzaliwa wa Tandale na mkuaji wa South Afrika mwenye ndoto ya kuipeperusha bendera ya muziki wa Tanzania kimataifa.
#SINAHABARI inapatikana kwenye digital platforms zote 🎙️ wadau wote, dj’s, watangazaji, promoters, comedians, wasanii, managers, media houses lets support this talent