Home copra_tzPosts

๐Œ๐š๐ฆ๐ฅ๐š๐ค๐š ๐ฒ๐š ๐”๐๐ก๐ข๐›๐ข๐ญ๐ข ๐ฐ๐š ๐๐š๐Ÿ๐š๐ค๐š ๐ง๐š ๐Œ๐š๐ณ๐š๐จ ๐Œ๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐š๐ง๐ฒ๐ข๐ค๐จ - ๐‚๐Ž๐๐‘๐€

@copra_tz

COPRA inasimamia mnyororo wa thamani wa nafaka na mazao mchanganyiko kwa usalama wa chakula. ๐’๐ก๐ข๐ซ๐ข๐ค๐ข๐ฌ๐ก๐š | ๐๐จ๐ซ๐ž๐ฌ๐ก๐š | ๐„๐ง๐๐ž๐ฅ๐ž๐ณ๐š
Followers
11.3k
Following
100
Account Insight
Score
55.11%
Index
Health Rate
%
Users Ratio
114:1
Weeks posts
๐…๐ฎ๐ซ๐ฌ๐š ๐ฒ๐š ๐’๐จ๐ค๐จ - ๐‰๐š๐ฉ๐š๐ง Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) inapenda kuwataarifu wadau wa biashara ya maharage kuhusu uwepo wa fursa ya soko la maharage nchini Japan Kampuni, vikundi na wafanyabiashara wenye uwezo wa kuuza maharage wanakaribishwa kuwasilisha taarifa zao kupitia: barua pepe: [email protected] Taarifa zitakazowasilishwa zijumuishe: โœ”๏ธ Wasifu wa biashara/kampuni โœ”๏ธ Aina ya maharage unayouza kwa sasa โœ”๏ธ Kiasi cha maharage unachouza au kusambaza โœ”๏ธ Masoko wanayohudumia kwa sasa Lengo ni kutambua wadau wenye uwezo wa kunufaika na fursa hii ya soko la kimataifa na kuwaunganisha na fursa hii.
467 30
4 days ago
๐—ž๐—จ๐—”๐—ก๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—จ๐— ๐—œ๐—ž๐—” ๐— ๐—™๐—จ๐— ๐—ข ๐—ช๐—” ๐—ง๐—”๐—ก๐—˜๐—ฆ๐—ช๐—ฆ Maombi yote ya vibali vya kusafirisha shehena za Nafaka na Mazao Mchanganyiko yatafanika kupitia mfumo wa TANESWS.
170 13
3 months ago
๐๐ž๐ฐ ๐ฆ๐š๐ซ๐ค๐ž๐ญ ๐จ๐ฉ๐ฉ๐จ๐ซ๐ญ๐ฎ๐ง๐ข๐ญ๐ข๐ž๐ฌ ๐š๐ซ๐ž ๐จ๐ฉ๐ž๐ง๐ข๐ง๐  ๐Ÿ๐จ๐ซ ๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š๐ง ๐š๐ ๐ซ๐ข๐œ๐ฎ๐ฅ๐ญ๐ฎ๐ซ๐š๐ฅ ๐ฉ๐ซ๐จ๐๐ฎ๐œ๐ญ๐ฌ ๐ข๐ง ๐‚๐ก๐ข๐ง๐š ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐ŸŒ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ Through the GACC registration process, Tanzania is strengthening agricultural trade, export readiness, and global competitiveness by enabling local companies to access the Chinese market. Current, eligible agricultural products include: โœ… Avocados โœ… Sesame โœ… Coffee โœ… Cashew โœ… Soybeans โœ… Cocoa โœ… Cassava โœ… Cloves and cottonseed & sunflower by-products. Agricultural stakeholders and exporters are encouraged to take advantage of this opportunity to expand Tanzaniaโ€™s presence in China market. Toll Freeโ˜Ž๏ธ 0733 800 200 New application sent via: [email protected]
58 0
13 hours ago
๐๐ž๐ฐ ๐ฆ๐š๐ซ๐ค๐ž๐ญ ๐จ๐ฉ๐ฉ๐จ๐ซ๐ญ๐ฎ๐ง๐ข๐ญ๐ข๐ž๐ฌ ๐š๐ซ๐ž ๐จ๐ฉ๐ž๐ง๐ข๐ง๐  ๐Ÿ๐จ๐ซ ๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š๐ง ๐š๐ ๐ซ๐ข๐œ๐ฎ๐ฅ๐ญ๐ฎ๐ซ๐š๐ฅ ๐ฉ๐ซ๐จ๐๐ฎ๐œ๐ญ๐ฌ ๐ข๐ง ๐‚๐ก๐ข๐ง๐š ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐ŸŒ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ Through the GACC registration process, Tanzania is strengthening agricultural trade, export readiness, and global competitiveness by enabling local companies to access the Chinese market. Current, eligible agricultural products include: โœ… Avocados โœ… Sesame โœ… Coffee โœ… Cashew โœ… Soybeans โœ… Cocoa โœ… Cassava โœ… Cloves and cottonseed & sunflower by-products. Agricultural stakeholders and exporters are encouraged to take advantage of this opportunity to expand Tanzaniaโ€™s presence in China market. Toll Freeโ˜Ž๏ธ 0733 800 200 New application sent via: [email protected]
247 12
1 day ago
๐‘ช๐‘ถ๐‘ท๐‘น๐‘จ ๐’š๐’‚๐’Š๐’Ž๐’‚๐’“๐’Š๐’”๐’‰๐’‚ ๐’–๐’˜๐’†๐’›๐’ ๐’˜๐’‚ ๐’˜๐’‚๐’•๐’–๐’Ž๐’Š๐’”๐’‰๐’Š ๐’Œ๐’–๐’‹๐’†๐’๐’ˆ๐’‚ ๐’Ž๐’Š๐’‡๐’–๐’Ž๐’ ๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’”๐’๐’Œ๐’ ๐’š๐’‚ ๐’Œ๐’Š๐’๐’Š๐’Ž๐’ ๐’š๐’†๐’๐’š๐’† ๐’–๐’”๐’‰๐’Š๐’๐’…๐’‚๐’๐’Š, ๐’–๐’˜๐’‚๐’›๐’Š ๐’๐’‚ ๐’–๐’”๐’•๐’‚๐’‰๐’Š๐’Ž๐’Š๐’๐’Š๐’—๐’– Watumishi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA), wanaendelea na mafunzo maalum ya kujengewa uwezo kuhusu utekelezaji wa sheria, kanuni na mifumo ya udhibiti wa biashara ya nafaka na mazao mengine nchini. Mafunzo hayo yanajikita katika kuimarisha uwezo wao kwenye maeneo muhimu ikiwemo:- โœ”๏ธ Usimamizi wa masoko ya ndani na nje ya nchi โœ”๏ธ Uzingatiaji wa sheria na taratibu za biashara kitaifa na kimataifa โœ”๏ธ Uwezeshaji wa biashara na masoko โœ”๏ธ Uzingatiaji wa viwango vya masoko ya kikanda na kimataifa Programu hii inaunga mkono utekelezaji wa Mpango kabambe wa Kilimo wa mwaka 2050 (AMP 2050) kwa kuimarisha taasisi, mifumo ya biashara ya mazao na maendeleo ya sekta ya kilimo nchini. Mafunzo haya yamefadhiliwa na @agra_africa na kuratibiwa na Agricultural Transformation Office Tanzania (ATO Tanzania). #COPRA #KilimoAMP2050 #AGRA #ATOTanzania #UsalamaWaChakula #tanzaniaagribusiness #malishambani #masokoyamazao
37 0
1 day ago
๐—ฆ๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ๐—น๐—ถ ๐—ฌ๐—ฎ๐—ต๐—ถ๐—บ๐—ถ๐˜‡๐—ฎ ๐—จ๐—น๐—ถ๐—ป๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—”๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—จ๐˜€๐—ฎ๐—น๐—ฎ๐—บ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—•๐—ถ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ๐—ผ Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb), amesema ulinzi wa afya ya mimea una nafasi muhimu katika kuimarisha usalama wa chakula, kuongeza ushindani wa mazao ya Tanzania kibiashara kwenye masoko ya kikanda na kimataifa. COPRA imeshiriki Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Afya ya Mimea yaliyofanyika Dodoma kama sehemu ya kuendeleza na kuimarisha ushirikiano na taasisi mbalimbali katika kusimamia biashara ya mazao inayozingatia viwango, ubora na mifumo rasmi ya biashara. Kupitia ushirikiano huu, Tanzania inaimarisha uaminifu wa mazao yake kwenye masoko, kulinda maslahi ya wadau kwenye mnyororo wa thamani wa mazao na kuendeleza mikakati ya Taifa ya kujenga sekta ya kilimo yenye ushindani, tija na biashara salama ya mazao.
39 1
3 days ago
๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š, ๐ˆ๐…๐€๐ƒ ๐–๐š๐ฃ๐š๐๐ข๐ฅ๐ข ๐Š๐ฎ๐ข๐ฆ๐š๐ซ๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐Š๐ข๐ฅ๐ข๐ฆ๐จ ๐‡๐ข๐ฆ๐ข๐ฅ๐ข๐ฏ๐ฎ ๐ง๐š ๐Š๐ข๐ฅ๐ข๐ฆ๐จ ๐๐ข๐š๐ฌ๐ก๐š๐ซ๐š WAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amekutana na Rais wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Alvaro Lario, jijini Nairobi nchini Kenya, kujadili maeneo ya ushirikiano katika maendeleo ya sekta ya kilimo na uwezeshaji wa wananchi kiuchumi. Katika kikao hicho kilichohudhuriwa pia na Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Gerald Mweli, viongozi hao walijadili mikakati ya kuendeleza kilimo himilivu cha tabianchi, kuimarisha kilimo biashara, pamoja na kuongeza matumizi ya teknolojia na mifumo ya kidijitali katika sekta ya kilimo. Aidha, mazungumzo hayo yaligusia umuhimu wa kuongeza ushiriki wa vijana na wanawake katika shughuli za uzalishaji na biashara ya mazao ili kuchochea ukuaji wa uchumi jumuishi na maendeleo endelevu vijijini. Ushirikiano kati ya Tanzania na IFAD umeendelea kuwa sehemu muhimu ya juhudi za kuimarisha tija, ushindani na upatikanaji wa masoko katika sekta ya kilimo nchini.
28 0
4 days ago
๐๐ž๐ข ๐š๐ง๐ณ๐ข๐š ๐ฒ๐š ๐๐š๐ซ๐š๐œ๐ก๐ข๐œ๐ก๐ข ๐ˆ๐ฆ๐ž๐ญ๐จ๐ฅ๐ž๐ฐ๐š ๐ญ๐š๐ซ๐ž๐ก๐ž ๐Ÿ๐Ÿ ๐Œ๐ž๐ข ๐Ÿ๐ŸŽ๐Ÿ๐Ÿ” ๐Œ๐ข๐ค๐จ๐š ๐ฒ๐š ๐Œ๐›๐ž๐ฒ๐š, ๐ˆ๐ซ๐ข๐ง๐ ๐š, ๐๐ฃ๐จ๐ฆ๐›๐ž ๐ง๐š ๐’๐จ๐ง๐ ๐ฐ๐ž Hass Sh. 1,500/Kg Fuerte Sh. 800/Kg ๐Œ๐ข๐ค๐จ๐š ๐Œ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ง๐ž Hass Sh. 1,200/Kg Fuerte Sh. 800/Kg ๐ƒ๐€๐‘๐€๐‰๐€ ๐‹๐€ ๐•๐ˆ๐–๐€๐๐ƒ๐€๐๐ˆ Mikoa ya Mbeya, Iringa, Njombe na Songwe Sh. 650/Kg Mikoa Mingine Sh. 400/Kg ๐Œ๐”๐‡๐ˆ๐Œ๐”: Hizi ni bei anzia; muuzaji anaweza kuuza juu ya bei hizi kulingana na ushindani wa soko. Hata hivyo, hairuhusiwi kuuza chini ya bei hizi. Mamlaka itaendelea kutoa bei anzia kwa kuzingatia mwenendo wa soko.
48 1
4 days ago
๐ˆ๐ ๐ฎ๐ง๐ ๐š-๐“๐š๐›๐จ๐ซ๐š, tukutane Sokoni kidijitali! Round nyingine ya mnada wa mauzo ya ufuta kidijitali inakuja, ikileta pamoja wakulima, wanunuzi na wadau wa biashara katika ushindani wa haki na fursa zaidi za soko.
110 7
5 days ago
Songwe. Tabasamu na matumaini vimeanza kuonekana kwa wakulima wa zao la ufuta katika Wilaya ya Momba, mkoani Songwe, kufuatia kufanyika kwa mafanikio mnada wa kwanza wa zao hilo kupitia mfumo wa soko la kidijitali. Kwenye mnada huo wa kwanza katika Wilaya ya Momba ambao umefanyika Mei 9, 2026, jumla ya tani 928 za ufuta zimefikishwa sokoni na kuuzwa zote. Bei iliyopatikana pia imepokewa vyema na wakulima, bei ya juu ikiwa Sh2,740 na ya chini Sh2,655 na hivyo kupata wastani wa Sh2714.90 kwa kilo moja. Kwa upande wa wakulima, mnada huo umeonekana kuwa mwanzo wa mabadiliko makubwa katika biashara ya ufuta. Jumapili Daud, mkulima wa zao hilo katika Wilaya ya Momba, amesema wameridhishwa na bei zilizopatikana kulingana na mwenendo wa hali ya soko ilivyo hivi sasa. Ofisa Mwandamizi wa Soko la Bidhaa Tanzania (TMX), Justa Martini amesema zaidi ya kampuni 10 zimeshiriki katika mnada huo na kuonyesha ushindani mkubwa wa ununuzi wa zao hilo. Kwa upande wake Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano ya Umma na Mawasiliano wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko, Theresia Christian amesema mnada huo umeonyesha namna ambavyo teknolojia ya kidijitali inaweza kuwaleta pamoja wakulima na wanunuzi kwa uwazi zaidi. โ€ŽVideo kamili ipo Youtube channel ya MWANANCHI DIGITAL. #mwananchiupdates #tunaliwezeshataifa
69 2
6 days ago
โ€ŽWakulima wa zao la ufuta wilaya ya Momba wameridhia kuuza ufuta wao Kwa bei ya Sh2,714.90 katika mnada wa kwanza wa kidigitali uliofanyika leo Mei 9, 2026. โ€Ž โ€ŽMwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Songwe (SORECU LTD), Daniel Shija Msyaliha amesema kuwa wastani wa bei ya juu katika mnada huo ilikuwa Sh2,740 na ya chini ni Sh2,655. โ€Ž โ€ŽBaada ya kukamilika kwa mnada huo , wakulima walifanya maamuzi kwa aliridhia kuuza ufuta wao kwa bei ya Sh. 2714.90.
101 1
6 days ago
Bei ya Ufuta kwenye mnada uliofanyika kwenye kijiji cha Kalungu kata ya Ivuna wilaya ya Momba mkoani Songwe
89 0
7 days ago