Chama Cha Mapinduzi

@ccmtanzania

Ukurasa rasmi wa Chama Cha Mapinduzi. Chama Tawala Tanzania, Fuatilia Ukurasa huu ili kujipatia habari na matukio, muhimu ya Chama Cha Mapinduzi.
Posts
15.0k
Followers
730k
Following
5
Account Insight
Score
71.51%
Index
Health Rate
80%
Users Ratio
145960:1
Weeks posts
18.45
LINDENI AMANI ACHANENI NA WANASIASA WALIOFILISIKA KISERA - KENANI. Maelfu ya Wananchi wamejitokeza katika mkutano wa Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu. ๐—ž๐—ฒ๐—ป๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—ž๐—ถ๐—ต๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ๐˜€๐˜‚, ambao umefanyika katika Kata ya Nyamwaga, Halmashauri ya Tarime Vijijini Mkoani Mara, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi ya siku nne Mkoani humo leo Mei 16, 2026. Akizungumza katika mkutano huo, Mwenezi Kenani amehimiza wananchi wa Tarime kulinda ardhi yao ya nyumbani na kuachana na wanasiasa waliofilisika kisera wenye kuchochea machavu na wasio na uzalendo kwa Taifa letu ambao baada ya kuchochea vurugu wenyewe hujificha na familia zao huziamishia nje ya nchi huku akisema hilo ni wazi kuwa wana dhamira mbaya kwa Taifa na sio siasa zenye kuzingatia matakwa ya Watanzania. โ€œ๐˜’๐˜ข๐˜ป๐˜ช ๐˜บ๐˜ข ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ช, ๐˜ฌ๐˜ข๐˜ป๐˜ช ๐˜บ๐˜ข ๐˜ถ๐˜ด๐˜ข๐˜ญ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข, ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ญ๐˜ช๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ข ๐˜ธ๐˜ข๐˜ป๐˜ฆ๐˜ฆ ๐˜ธ๐˜ฆ๐˜ต๐˜ถ, ๐˜ธ๐˜ข๐˜ต๐˜ฐ๐˜ต๐˜ฐ ๐˜ธ๐˜ฆ๐˜ต๐˜ถ, ๐˜ฎ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ป๐˜ฆ๐˜ต๐˜ถ ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ง๐˜ข๐˜ฎ๐˜ช๐˜ญ๐˜ช๐˜ข ๐˜ป๐˜ฆ๐˜ต๐˜ถ ๐˜ฌ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ถ๐˜ซ๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ญ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ช ๐˜ฌ๐˜ข๐˜ป๐˜ช ๐˜บ๐˜ฆ๐˜ต๐˜ถ ๐˜ด๐˜ช๐˜ด๐˜ช ๐˜ธ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข๐˜ค๐˜ฉ๐˜ช ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฑ๐˜ข ๐˜›๐˜ข๐˜ณ๐˜ช๐˜ฎ๐˜ฆ, ๐˜ข๐˜ด๐˜ช๐˜ซ๐˜ฆ ๐˜ฎ๐˜ต๐˜ถ ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ซ๐˜ข๐˜ป๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜ฐ ๐˜บ๐˜ข ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ถ๐˜ฌ๐˜ช, ๐˜ฑ๐˜ข๐˜ฌ๐˜ช๐˜ฉ๐˜ข๐˜ณ๐˜ช๐˜ฃ๐˜ช๐˜ฌ๐˜ข ๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฑ๐˜ข ๐˜ธ๐˜ข๐˜ป๐˜ฆ๐˜ฆ ๐˜ธ๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜ถ ๐˜ฉ๐˜ข๐˜ธ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฑ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฌ๐˜ช๐˜ฎ๐˜ฃ๐˜ช๐˜ญ๐˜ช๐˜ข, ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ฑ๐˜ช๐˜ญ๐˜ช ๐˜ฏ๐˜ช ๐˜ธ๐˜ข๐˜ต๐˜ฐ๐˜ต๐˜ฐ ๐˜ธ๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜ถ ๐˜ธ๐˜ข๐˜ฅ๐˜ฐ๐˜จ๐˜ฐ ๐˜ฉ๐˜ข๐˜ธ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฑ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ธ๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ต๐˜ข๐˜ต๐˜ถ ๐˜ฏ๐˜ช ๐˜ฎ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ป๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜ถ ๐˜ฉ๐˜ข๐˜ธ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ถ๐˜ธ๐˜ฆ๐˜ป๐˜ฐ ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ซ๐˜ช๐˜ต๐˜ฆ๐˜ต๐˜ฆ๐˜ข, ๐˜ญ๐˜ช๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜ช ๐˜›๐˜ข๐˜ณ๐˜ช๐˜ฎ๐˜ฆ ๐˜บ๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜ถโ€ ๐™†๐™š๐™ฃ๐™–๐™ฃ๐™ž. #KaziNaUtuTunasongaMbele
3,321 46
1 hour ago
WASIRA AKONGA NYOYO ZA WANANCHI KIGOMA MJINI Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amewahutubia na kukonga nyoyo za mamia ya wana CCM na wananchi wa Kigoma mjini huku akiwataka kudumisha amani, umoja na mshikamano. Wasira amewahutubia wananchi hao leo Mei 16, 2026 katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Kawawa uliopo Kigoma mjini akiwa katika siku ya mwisho ya ziara yake ya siku tatu mkoani humo. == ==
4,250 16
1 hour ago
๐— ๐—”๐—˜๐—ก๐——๐—˜๐—Ÿ๐—˜๐—ข ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—ญ๐—œ๐— ๐—จ๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—”๐—ง๐—”๐—Ÿ๐—˜๐—ง๐—ช๐—” ๐—ก๐—” ๐—ž๐—œ๐—ข๐—ก๐—š๐—ข๐—ญ๐—œ ๐—”๐—ก๐—”๐—ฌ๐—˜๐—ง๐—ข๐—ž๐—”๐—ก๐—” ๐—ก๐—” ๐—–๐—–๐—  ๐—ฃ๐—˜๐—ž๐—˜๐—˜ - ๐—š๐—”๐—ฉ๐—จ โ€œ๐˜”๐˜ป๐˜ช๐˜ฎ๐˜ถ๐˜ฏ๐˜ช ๐˜ฎ๐˜ฏ๐˜ข๐˜ต๐˜ข๐˜ฌ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ข๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ฆ๐˜ญ๐˜ฆ๐˜ฐ ๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ฆ๐˜ญ๐˜ฆ๐˜ท๐˜ถ, ๐˜ฎ๐˜ฏ๐˜ข๐˜ต๐˜ข๐˜ฌ๐˜ข ๐˜ถ๐˜ธ๐˜ข๐˜ซ๐˜ช๐˜ฃ๐˜ช๐˜ฌ๐˜ข๐˜ซ๐˜ช, ๐˜ฎ๐˜ฏ๐˜ข๐˜ต๐˜ข๐˜ฌ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ช๐˜ฐ๐˜ฏ๐˜จ๐˜ฐ๐˜ป๐˜ช ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข๐˜บ๐˜ฆ๐˜ซ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช ๐˜ธ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ช, ๐˜ฎ๐˜ฏ๐˜ข๐˜ต๐˜ข๐˜ฌ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ต๐˜ถ ๐˜ข๐˜ด๐˜ช๐˜บ๐˜ฆ ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ข๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ถ ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ฃ๐˜ข๐˜บ๐˜ฆ ๐˜ฎ๐˜ต๐˜ข๐˜ฎ๐˜ต๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ข๐˜ฌ๐˜ข๐˜ด๐˜ฆ๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ช๐˜ข๐˜ฃ๐˜ข ๐˜บ๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜ถ ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ญ๐˜ฆ ๐˜๐˜ข๐˜ญ๐˜ฎ๐˜ข๐˜ด๐˜ฉ๐˜ข๐˜ถ๐˜ณ๐˜ช ๐˜ฃ๐˜ข๐˜ด๐˜ช ๐˜ฎ๐˜ต๐˜ถ ๐˜ฉ๐˜ถ๐˜บ๐˜ฐ ๐˜ด๐˜ช ๐˜ฎ๐˜ธ๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜จ๐˜ช๐˜ฏ๐˜ฆ ๐˜ฃ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช ๐˜ฏ๐˜ช ๐™Ž๐™–๐™ž๐™™ ๐™Ž๐™–๐™ก๐™ช๐™ข ๐™ˆ๐™–๐™จ๐™–๐™ฃ๐™œ๐™– ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข๐˜บ๐˜ฆ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฌ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜Š๐˜Š๐˜”, ๐˜”๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜จ๐˜ถ๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜ช โ€œ Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Idara ya Oganaizesheni Ndugu. ๐—œ๐˜€๐˜€๐—ฎ ๐—›๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—จ๐˜€๐˜€๐—ถ ๐—š๐—ฎ๐˜ƒ๐˜‚ (๐— ๐—ก๐—˜๐—–) leo tarehe 16 Mei 2026 wakati akiongoza jahazi akiwa Mgeni rasmi katika Uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi wa Udiwani katika Kata ya Mzimuni iliyopo Wilayani Kinondoni Jijini Dar es salaam katika Viwanja vya Muhuto. Gavu amewaeleza wananchi kuwa kazi kubwa inayoendelea kufanywa na Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. ๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ฆ๐˜‚๐—น๐˜‚๐—ต๐˜‚ ๐—›๐—ฎ๐˜€๐˜€๐—ฎ๐—ป inatokana na usambamba uliopo wa maelewano mazuri ya viongozi wenye kuzingatia Ilani ya Uchaguzi ya CCM (2025/26) na nianya kweli ya kuleta maendeleo endelevu ambapo amesema usambamba huo unamaanisha uwepo wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa anayetokana na CCM, Diwani kutoka CCM, Mbunge na Rais ndio maana kazi inakuwa inafanyika kwa urahisi kwakuwa hakuwezi kuwa na upinzani usiojali maendeleo ya wananchi. Katika uzinduzi huo, Maelfu ya wananchi wamejitokeza kwa wingi kusikiliza sera za CCM na kuonesha ishara tosha ya kuwa na imani na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Viongozi mbalimbali wa CCM Mkoa wa Dar es salaam, Wilaya pamoja wameshiriki katika uzinduzi huo huku Wanachama, Wadau na Wananchi kwa ujumla wakionesha kuunga mkono sera za CCM na kuahidi kumpa kura za ndio Mgombea Ndugu. Saidi Salum Masanga. #KaziNaUtuTunasongaMbele
3,326 16
1 hour ago
MKUTANO wa Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, umevutia mamia ya wananchi katika Kata ya Nyamwaga, Halmashauri ya Tarime Vijijini mkoani Mara Kihongosi ambaye yuko katika ziara ya kikazi ya siku nne mkoani humo leo Mei 16, 2026 amefika katika Halmashauri hiyo na kukagua uhai wa chama kupitia mashina, kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kufanya mkutano mkubwa wa hadhara. Kiongozi huyo ambaye amekuwa na namna tofauti katika mikutano yake akivutia namba kubwa ya wanachama na wananchi ambao si wanachama kuhudhuria mikutano hususani katika Jimbo hilo la Tarime Vijijini ambalo liliwahi kuwa la upinzani Mbali na kiongozi huyo kuendesha mikutano hiyo kwa namna yake tofauti ya kusikiliza hoja na mistari yake ameendelea kuvutia wanachama wa vyama vingine vya upinzani kuhamia CCM na miongoni mwa watu hao ni Mwenyekiti wa Chadema Tawi la Sokoni Sirari, Mohabe Manga Bunyige
3,235 106
3 hours ago
TARIME YAFURIKA MKUTANO WA MWENEZI WA CCM KOMREDI KENANI KIHONGOSI Mwenezi anaendelea na ziara Mkoa wa Mara Kesho atakua Wilaya ya Bunda kuendelea na ziara ya kuimarisha Chama kukagua miradi na kusikiliza wananchi
3,359 99
4 hours ago
KIHONGOSI: โ€œMSIRUHUSU SIASA KUINGIA KWENYE MAENDELEOโ€ Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amewataka wananchi kutokuruhusu siasa kuingia katika maendeleo akiwasisitiza walinde miundombinu inayopelekwa na serikali. Kihongosi ameeleza hayo leo Mei 16,2026 alipotembelea na kukagua mradi wa shule ya Sekondari ya Nyasarisho Kata ya Binagi Tarime Vijijini mkoani Mara, ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika mkoa huo. Akizungumza baada ya kukagua mradi huo Kihongosi amewasisitiza wananchi kulinda miundombinu inayopelekwa na serikali katika maeneo yao kwani yanapelekwa kwa manufaa yao wenyewe, hivyo wasiiharibu wala kuichoma kutokana na uchochezi wa kisiasa. Kihongosi amesema siasa ifanyike lakini isiingie katika maendeleo ya nchi, akisisitiza kuwa mtu mwerevu analinda nyumbani kwao lakini mtu ambaye si mwerevu anaharibu nyumbani kwao. Amewataka wananchi kutokuruhusu siasa kuingia katika maendeleo, akiwasisitiza walinde miundombinu na miradi ya maendeleo wanayopelekewa ikiwemo shule hiyo kwani ni kwa manufaa yao wenyewe. โ€œSasa siasa isiingie kwenye maendeleo, siasa ifanyike maendeleo ya nchi yasonge mbele watu wa Tarime msipolinda miundombinu yenu hakuna wakuwalindia, shule ikichomwa maana yake watoto wote warudi nyumbani hiyo ni hasara kwa wazazi na wananchi usika,โ€ amesisitiza. Akitoa taarifa fupi ya mradi huo Mkuu wa Shule ya Sekondari Nyasarisho, Paschal Sobu amesema shule hiyo ni ya mchanganyiko na ina vijana wa kidato cha kwanza hadi cha sita, huku kidato cha kwanza hadi cha nne ni wavulana na wasichana lakini kidato cha tano na sita ni wavulana tu. Amesema shule hiyo imejengwa kwa kiasi cha Sh bilioni 1.6 ambapo Sh bilioni moja zimetoka katika serikali kuu na zaidi ya Sh milioni 600 zimetoka katika mapato ya ndani ya Halmashauri ya Tarime. โ€œTunayo miuondombinu kama ulivyoikagua yako madarasa 13, ofisi tano, lipo jengo la utawala eneo ulilosimama, maabara za kisasa ulizoziona, ya Kemia na baolojia lakini tunabwalo la chakula, jiko la ndani ambayo yanatumia nishati safi,โ€amesema Sobu.
3,249 96
6 hours ago
WASIRA AFICHUA SIRI CCM KUJIFANYIA TATHMINI. MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema uamuzi wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kutaka Chama kijifanyie tathmini, unalenga kupata viongozi bora na kushughulikia kikamilifu changamoto za Watanzania. Amesema wakati wana CCM wakielekea katika uchaguzi mkuu wa Chama, ni vyema kila mmoja kujitathmini kabla ya kuomba nafasi ya uongozi kuhakikisha ana sifa zikiwemo za kimaadili. Wasira aliyasema hayo jana mkoani Kigoma alipokuwa akizungumza na viongozi wa CCM kwa Nyakati tofauti katika wilayani Buhigwe, Kasulu pamoja na Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Mkoa, akiwa katika ziara ya kichama mkoani humo. Alisisitiza viongozi na wanachama wa CCM kuijua na kuizingatia Katiba ya Chama, kanuni na miongozo inayoongoza uendeshaji wa Chama. โ€œSiku hizi tunasema kuna njia kuu na mchepuko, njia kuu ya chama hiki imeandikwa katika hivi vitabu (Katiba, kanuni na miongozo) mchepuko ni tabia tunayoendesha nayo ambayo inapingana na vitabu, kwa hiyo tumechepuka tunataka kurudi njia kuu. Chama kinachoundwa na katiba hii kina madhumuni,malengo,Sifa za mwanachama, masharti ya kiongozi, wanachama, katiba na Kanuni. โ€œsifa za uongozi, hizi zipo katika kitabu kinaitwa kanuni za uchaguzi ndani ya CCM, inasema sifa ya kwanza kiongozi wa Chama akinai maadili ya Chama kwa maana ya kwamba ayajue na ayaishi na asiwe mtu wa kuyumbayumba katika mambo ya msingi. โ€œUnajua unaweza ukachagua kiongozi leo ana hili kesho ana lile sasa unaweza kumuuliza wewe hasa unasimamia nini maana yale uliyoyakubali jana ndiyo unayoyapinga keshoโ€ฆwewe nawe ni mwanachama hatari na mwanachama wa namna ile anaweza akakidhulumu chama chenyewe. Makamu Mwenyekiti Wasira alisisitiza kiongozi anapaswa kuwa na uwezo wa kazi anayoiomba.
3,244 50
9 hours ago
WASIRA AFICHUA SIRI CCM KUJIFANYIA TATHMINI. MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema uamuzi wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kutaka Chama kijifanyie tathmini, unalenga kupata viongozi bora na kushughulikia kikamilifu changamoto za Watanzania. Amesema wakati wana CCM wakielekea katika uchaguzi mkuu wa Chama, ni vyema kila mmoja kujitathmini kabla ya kuomba nafasi ya uongozi kuhakikisha ana sifa zikiwemo za kimaadili. Wasira aliyasema hayo jana mkoani Kigoma alipokuwa akizungumza na viongozi wa CCM kwa Nyakati tofauti katika wilayani Buhigwe, Kasulu pamoja na Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Mkoa, akiwa katika ziara ya kichama mkoani humo. Alisisitiza viongozi na wanachama wa CCM kuijua na kuizingatia Katiba ya Chama, kanuni na miongozo inayoongoza uendeshaji wa Chama.
3,410 50
9 hours ago
DKT.MIGIRO AIMARISHA USHIRIKIANO KIMATAIFA NA MABALOZI WA CUBA, VIETNAM, NA UN Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Asha-Rose Migiro, kwa nyakati tofauti amekutana na kufanya mazungumzo na mabalozi wawili wanaoziwakilisha nchi zao katika Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Mazungumzo hayo yamefanyika katika ofisi ndogo ya makao makuu CCM, Lumumba, jijini Dar es salaam. Mabalozi hao ni Mheshimiwa Yordenis Despaigne Vera, Balozi wa Jamhuri ya Cuba na Mheshimiwa Vu Thanh Huyen, Balozi wa Jamhuri ya Kisoshalisti ya Viet Nam, wote wenye makaazi yao nchini Tanzania. Mazungumzo hayo yalijikita katika kuendeleza na kuimarisha ushirikiano wa kihistoria kati ya CCM na vyama rafiki vya CPCโ€“Cuba na CPVโ€“Viet Nam, hususan katika maeneo ya uongozi, mshikamano wa vyama vya siasa na maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa manufaa ya wananchi wa nchi hizi mbili. Katika hatua nyingine, Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Migiro, alifanya mazungumzo na Mheshimiwa Susan Ngongi Namondo, Mwakilishi Mkaazi wa Umoja wa Mataifa nchini Tanzania, ambapo walijadiliana vipaumbele vya maendeleo ya jamii katika utekelezaji wa baadhi ya maeneo yaliyomo katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2025โ€“2030 ambayo yanawiana na Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, na Malengo ya Maendeleo ya Kimataifa (SDGs).
3,301 52
13 hours ago
MAPENZI YA WANANCHI WA TARIME KWA CCMโœ…
3,314 104
13 hours ago
VIONGOZI WAONYWA DHIDI YA KIBURI CHA MADARAKA CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amewataka viongozi hususani vijana walioko kwenye nafasi za uongozi,kuacha kiburi cha madaraka,na badala yake wajifunze na kufuata msingi uliojengwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kwani uongozi si kiburi wala majivuno ya madaraka. Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi ameeleza hayo leo Mei 15,2026 alipozuru na kufanya ibada fupi katika kaburi la hayati Mwl Nyerere katika Wilaya ya Butiama mkoani Mara ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kikazi mkoani humo. Akizungumza baada ya ibada hiyo Kihongosi amesema viongozi wanapaswa kuishi kwa kufuata misingi ya Mwl Nyerere, kwani aliacha urithi wa uzalendo, upendo na umoja kwa kupiga vita ukabila, udini na ukanda na ndiyo maana leo Tanzania inaendelea kuwa taifa lenye mshikamano. Amesema kutoka ana msingi huo ambao ndio urithi aliouacha viongozi wanapaswa kujifunza kwake kuwa uongozi si kiburi wala majivuno ya madaraka bali kiongozi bora ni yule anayewaunganisha watu, anayeprnda nchi yake na anayewatumia wananchi kwa unyeyekevu. โ€œviongozi hasa vijana nikiwepo mimi tunapaswa kujifunza kutoka kwake uongozi si kiburi wala majivuno ya madaraka, kiongozi bora ni yule anayewaunganisha watu, anayependa nchi yake na anayewatumikia wananchi kwa unyenyekevu kama alivyofanya Mwalimu Nyerere,โ€ amesisitiza Kihongosi. Ameongeza akisisitiza kuwa ni muhimu kwa vijana waliopewa dhamana ya uongozi kuepuka kiburi cha madaraka na badala yake kujifunza kutoka kwa wazee waliotutangulia.
3,361 200
1 day ago
KIHONGOSI: MAAMUZI YA VIKAO YAHESHIMIWE TARIME: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amesema msingi wa chama ni vikao, hivyo maamuzi yanayotolewa katika vikao yanapaswa kuheshimiwa. Kihongosi ameeleza hayo leo Mei 15,2026 alipotembelea na kuhudhuria Shina namba tatu Tawi la Buhemba Kata ya Bomani jimbo la Tarime Mjini ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika Mkoa wa Mara. Kihongosi alisema watu wanapaswa kuheshimu maamuzi ya vikao kwa sababu ndipo watu wanapokaa kufanya mipango na kukubaliana hivyo maamuzi ya vikao ndiyo maamuzi ya chama. โ€œKiongozi aliyeiva itikadi ya CCM maamuzi ya mwisho ya vikao ndiyo maamuzi ya chama na wanachama hao, vyama vyetu au chama chetu tunasema msingi wa chama ni vikao, kwenye vikao tunakaa, tunapanga tunakubaliana tunasonga mbele,โ€ amesema Kihongosi. Kihongosi ameongeza kuwa kazi ya chama itafanywa na wanachama watiifu na wazalendo wa chama, hivyo ukiona kuna mtu ana mambo yake mengine huyo si mwanachama aliyoiva itikadi ya CCM. Katika hatua nyingine amewataka viongozi wa CCM walinde chama kwa sababu chama ndicho kimewapa heshima ya uongozi, hivyo waachane na mambo ambayo yanaharibu chama kwahiyo lazima tulinde maslahi yetu mapana yawe ndani ya chama. โ€œJambo ninalopenda kulisisitiza hapa katika mkutano wetu huu wa ndani naomba wana CCM tukipende chama kuliko kupenda watu ndani ya chama, maana yake chama kwanza watu baadaye,โ€ amesisitiza Kihongosi. โ€œNinacho maanisha hapa Tarime tunahitaji, umoja upendo na mshikamano ili kuwa na CCM imara na madhubuti lazima kama kuna makundi yafe, kama kuna mambo hayaeleweki yamalizwe ili Tarime Chama Cha Mapinduzi kiwe Imaraโ€.
3,376 170
1 day ago