New Talent kutoka Kwa New Generation... Kutana na Huyu apa Kijana mwenye Kipaji cha Nguvu kabisa... Good Music kutoka kwa @calad_bongo ... Surrender... Link kwa Bio yake @calad_bongo
Kuna Nyimbo zinafanya ukumbuke hata Ex Wako 🥹
Anyway Mdogo wangu Umeuaaa sanaa humu Hongera Tumsaport 🤝🙏🏿 @calad_bongo Inaitwa #Sarrender🎶
Support gud Music👆🏽🎶
Jinsi ya kunipigia kura ingia kwenye page ya @eaea_awards_inc kisha fanya hivi 👇🏼 1.follow @eaea_awards_inc 2.like posti yenye picha yangu 3.kisha comment hivi “Nampigia kura Calad”.
Asanteni sana wadau wangu nawapenda sana 🙏🏻
Ninayo furaha kwa kuwa moja Kati waliochaguliwa kushiriki katika tuzo hizi za EAEA 2026 in 4 categories. Kwa kweli it’s a blessing, nawashukuru wadau na mashabiki zangu kwa support mnayonipa…
Tembelea ili uweze kunipigia kura asante🙏🏻
@eaea_awards_inc@nextlevelmusic_tz
Ni furaha sana kufanya kazi na professional workers. Nitakuwa mchoyo wa fadhila kama nisiposema neno shukaurani, kusema kweli nawashukuru sana wote waliojitolea mda na energy yao kuhakikisha jambo letu linakwenda sawa🙏🏻🙏🏻 asante sana bro @director_kenny na team nzima kwa upendo mlionionyesha
Proud of you big brother @rayvanny and the whole team @nextlevelmusic_tz 🔥🔥🔥