Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Ilani kwa Wagombea Ubunge wa Majimbo mbalimbali ya Wilaya ya Bunda Mkoa wa Mara wakati wa Kampeni za uchaguzi leo October 09,2025.
Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
Instagram: @mamakajatz
Twitter @mamakajatz
Facebook: Mamakajatz
YouTube: Mama kaja tz
#Mamakaja #kaziiendelee
Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini Mh. Ester Amos Bulaya (@bulayaester ), amesema wananchi wa Jimbo hilo wanataka matokeo badala ya neno mchakato unaendelea.
Amesema hayo wakati akichangia Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu Bungeni Dodoma.
#KitengeUpdates