We’re bringing together comedians from…
🇹🇿 Tanzania
🇰🇪 Kenya
🇺🇬 Uganda
🇿🇦 South Africa
🇬🇭 Ghana
🇹🇬 Togo
In a festival that will feature…
🎤 Open mics
✍️ Writers’ rooms
🧠 Workshops
🤣Pop-up comedy activations
🇹🇿The Swahili showcase — BWAGA MANYANGA
🌟And the Grand Finale at Superdome Masaki
All from May 25th to May 30th 2026!
You won’t want to miss this.
See you there😉😜
#franceintanzania #comedy #PunchlinelnternationalComedyFestival
#AfricaForwardSummit #GlobalComedy
Some beautiful photos from when we celebrated our France Alumni Day 2026, hosted by our ambassador @as.ave . We always appreciate hearing success stories from Tanzanians who pursued an education in France!
Thank you to our The French-Tanzania Chamber of Commerce, and all others that contributed to such a beautiful evening of networking. Such events are essential to strengthen relationships and inspire new collaborations within our community!
•
Baadhi ya picha nzuri kutoka katika tukio letu la Siku ya France Alumni 2026, lililoongozwa na balozi wetu @as.ave . Daima tunafurahi kusikia hadithi za mafanikio kutoka kwa Watanzania waliosoma nchini Ufaransa!
Asante kwa Chama cha Wafanyabiashara wa Ufaransa–Tanzania, pamoja na wote waliochangia kufanikisha jioni hii nzuri ya mikutano. Matukio kama haya ni muhimu katika kuimarisha mahusiano na kuhamasisha ushirikiano mpya ndani ya jamii yetu!
•
#FranceAlumniDay2026 @projekt_inspire_tz@francealumni
The Ambassador of France in Tanzania highlights the reason behind this partnership. 🇫🇷🎤🌍
“We believe in the power of creativity to transform lives. Through the Punchline International Comedy Festival, we see a platform that will empower young Africans to recognize the true value of their talents, turn them into sustainable sources of income, and share the richness of African culture with the world.”✨
In collaboration with @franceintanzania , @af_dar , @tanzania_film_board , @sgasecurity , @seacliffcourttz , @creationafrica , @thesuperdometz , @table.206 and @thecitizentz .
#PunchlineFestival #CreativeAfrica #LaughsWithoutBorders #GlobalComedy #SupportTheArts DarEsSalaam
Will our ambassador be able to answer all #AfricaForwardSummit questions in 60 seconds??🫢🫢🫢
Je, Balozi wetu ataweza kujibu maswali yote kuhusu mkutano wa Africa Forward kwa sekunde 60??🫨🫨🫨
#franceintanzania #gameshow #QnA #diplomacy
In case you wonder what I did in Zanzibar. Well, I was welcome by the ministry of Tourism cos with over 100 000 French visitors a year, speaking French might be a requirement in hospitality. What do you think?
Ikiwa utashangaa nilichofanya Zanzibar. Naam, nilikaribishwa na wizara ya Utalii kwa sababu na wageni zaidi ya 100,000 kutoka Ufaransa kwa mwaka, kuzungumza Kifaransa kunaweza kuwa sharti katika ukarimu. Mnafikiri nini?
And that’s all from our khanga competition! Thank you to all who participated 🙏🏾🥳
Na hizo ndizo za mwisho kutoka shindano letu la khanga! Asanteni wote walioshiriki 🙏🏾🥳
#embassy #franceintanzania #competition
Thank you to the artists for the beautiful khangas they sent us! Should we reward more talents?🤭🫢
Asante kwa wasanii kwa khanga nzuri waliotutumia! Je, tuwatuze vipaji zaidi? 👀🤩
#embassy #competition #franceintanzania
Balozi wetu @as.ave alienda kwenye darasa la kifaransa na akafurahi sana! Hongera kwa wanafunzi wa @af_dar 👏🏾🤩
Our ambassador @as.ave attended a French class and was very pleased! Well done to the students at @af_dar 👏🏾🙂↕️
#frenchclasses #franceintanzania #embassy #alliancefrançaise #mydaressalaam
Today on Poppin’ we feature the French Ambassador to Tanzania @as.ave
Be sure to follow her to stay updated on her inspiring work.
#letsplaytz #disruptthemoment