Barz Kitaa [@barzkitaa ] kupitia ukurasa wao wa instagram amethibitisha kuanza kwa msimu wa pili wa michano ambapo wameanza na Rapper Anko Trapper [@anko_trapper ] na Ardy Berno [@ardyberno ].
Barz kitaa imekuwa platform muhimu sana kwa sasa katika game ya Hip Hop ambapo inawapa nafasi wasanii wapya wa Hip Hop kuonekana kwa jamii.
Swipeππ½ kuona video hizo lakini session nzima zinapatikana YouTube link kwenye bio ya Barz Kitaa [@barzkitaa ].
Je nani ameua kwenye msimu huu wa pili hadi sasa?
Dondosha comment yako hapo chini ππ½
.
.
.
.
.
#BeatsAndBars #tamaduni #hiphopmisingi #tanzania #music
Umeisikiliza 3rd Floor kutoka kwa @anko_trapper ?
Kama Yes tuambie ni line gani imekugusa zaidi? πππ
#barzkitaa #barzkitaaperformance #bongorap #bongohiphop
#3rdFloor Kutoka kwa @anko_trapper inapatikana sasa kwenye youtube ya #Barzkitaa π
Gusa link kwenye bio kutazama performance nzima π€
#barzkitaa #barzkitaaperformance #bongodrill bongohiphop
@anko_trapper amekuja na #3rdFloor ,, Story yenye ukweli mchungu unaowahusu wengi wanaopambana kimya kimya π’ππ₯
Hii story ni yako pia? Sema ukweli hapa chini ππ
Performance nzima inapatikana youtube, gusa link kwenye bio!
#barzkitaa #sautiyamtaa #barzkitaaperformance #bongohiphop
3rd floor moja kati ya nyimbo itayo patikana kwenye Ep yang nayo tarajia toa hv karbun, kama kijana mwenzangu una miaka 30 unapitia haya nliyo imba kwa wimbo huu lets keep grinding, believe, hustler, and Pray on GOD we gonna make it