Home adaonce_Posts

Ada Once 🗨

@adaonce_

Bongofleva artist singer🎤🎧 Songwriter 🖊
Followers
5,605
Following
2,780
Account Insight
Score
32.31%
Index
Health Rate
%
Users Ratio
2:1
Weeks posts
MIMI NIMEMKUTA TAYALI ANA WATOTO WA 3 DAAAH!!!
37 17
3 months ago
/@officialadaonce ?si=N_HjV36EyFRYsmrp ☝️☝️☝️ bonyeza ublue hapo upate wimbo huu
40 5
8 months ago
ET TUACHIEEE?????? Ni Ep ya nyimbo 6 clip zimeanza kutoka. Nataka nione watu wanapokeaje then tuweze kuachia. Usiishie kulike tu dondosha makoment apo. Support yako ndio kil a kitu kwangu. Ni follow Instagram,youtube,tiktok na kwingine kote kama Audiomark, Boomplay. Wananiita ADAONCE. Ukiandika hivo. Utaniona. Asanteni.
31 4
10 months ago
Nimejikuta❤️❤️❤️ nampost @fayrah09 .sijamfuatilia kwakina nimeona nyimbo hii tu, nyimbo imenibamba sana, naisikiliza kila mala.sauti nzuri kabisa lakin pia Sura yake nivideo tosha. Hata video yanyimbo hii niyeye tu haina mambo mengi. Ngoma kama hizi huwez kuzipata kwa wasanii wakubwa sana, hawa bado vichwa vinachangamka kwahio nikutoa support maisha yasonge, na pia nimpongeze producer kagonga vinanda vya kihind humo, bit imetulia kinoma. Nawishi siku moja nimuone huyo producer tufanye jambo. Hongera fayrah unajua.
6 0
8 days ago
Je angekuwa alajiga angeqeka penalt kwa muda ule??? Kunamengi ajifunze, kwanza unapogawa kadi mapema unaharibu comfortability ya mchezaji, simanishi isotoe kadi ila kunamakosa mengine niyakuelekezana. Nani unasikia anamlaumu sana kocha. Yuko crear kabisa. Ushabiki mwe mnaacha mnachezesha mpira.
8 1
17 days ago
DADA ACHANGANYA KUTOKUJUA CHOBWEDO NA MBEUMO NAN ANACHEZEA TRA NA MANCHESTER UNITED HAHAHAHHA.
9 3
1 month ago
Daaa kushikwa bega bwana hahaha!!!!
14 7
1 month ago
Andika adaonce kwenye platforms kote. Iwe youtube sijui wapi. Adaonce ni mmoja tu.
12 6
1 month ago
Nisije nikatia aibu kwenye verse za watu. Vip kabla haijatoka unaonaje verse yangu? Njoo youtube subscribe. /@OfficialAdaOnce
7 4
1 month ago
Demo imetoka vip verse yangu unaionaje????
9 3
1 month ago
Nawapenda sana ingawa mwenzangu bado sijapata nikimpata nitamupost wazazi wangu. Happy valentine day nawapenda.
11 2
3 months ago
JAA bless us we epect your bless.
10 1
3 months ago