Salamu Bro Tiggs ππΎ, mimi ni msanii chipukizi wa Afrobeat kutoka Tanzania, sina bajeti ya kushirikiana lakini nina wimbo usiotolewa bado unaoitwa βTROUBLEβ ninaoamini unaweza kugusa watu dunianiβkama utapata muda, verse yako inaweza kubadilisha maisha yangu @tiggsdaauthor