23 days ago
Mpende sana mama yako… ❤️
Hakika radhi yake ni njia ya baraka zako.
Pepo ipo chini ya nyayo zake,
na ukimheshimu kwa dhati, maisha yako yatafunguka kwa namna usiyotegemea.
Na kama ameshatangulia mbele ya haki,
usimuache… muombee dua, mfanyie mema kwa niaba yake 🤲
Kumbuka hili:
Huwezi kujenga ndoa yenye amani na baraka,
kama hukujifunza kuthamini chanzo chako — mama yako.
Mpende akiwa hai,
na akiondoka… endelea kumpenda kwa dua. ✨
#Mama #Heshima #Baraka #Maisha #Ndoa
10
0